Sanchi kweli ana tako la kufa mtu lakini uzuri hana kuna tofauti kati ya mwanamke mwenye tako na mwanamke mzuri mkuu hebu tafakari kidogo.Mkuu Hebu pata hiyo. SanchiWowowo kwenye ubora wake. Hiyo ndio ChuraView attachment 1183781
Sanchi kweli ana tako la kufa mtu lakini uzuri hana kuna tofauti kati ya mwanamke mwenye tako na mwanamke mzuri mkuu hebu tafakari kidogo.
Wambie masterMkuu inaonekanwa wewe ni wale wanaobabaika na rangi nyeupe, mana huyo demu mimi sijaona kitu kabisa.
Na kuhusu tako mkuu, hivi wewe kipimo cha uzuri wa mwanamke kwako ni nini? Mana tako ndio kiungo namba moja kwa mwnamke kinachovutia. Na ndio mana ukaambiwa Uzuri wa Nyumba ni Choo.
uyu sanchoka lazima nije nimteke afu nimle....haiwezekani tako lote ilo linipite,,,tako la kuombea mkopo benki bila ribaMkuu Hebu pata hiyo. SanchiWowowo kwenye ubora wake. Hiyo ndio ChuraView attachment 1183781
Wanajamvi,
Kuna msemo usemao "Beauty lies in the eyes of beholder"
Leo naomba nimtambulishe huyu mdada mbongo sijui nimuite MC , sijui Bongo Movie au Bongo Fleva artist anaitwa Menina Abdulkarim, kwa macho yangu ni mzuri sana yaani kawapita wote na hana makuu (skendo za kila leo) hakika hapa Mungu aliumba kuanzia sura, jicho,shepu, mguu hadi sauti Basi sifa zimrudie Muumba
Nawasilisha kwa Heshima
Mkuu embu nipe hii elimu.. Naihitaji sanaNikikuangalia viwiko na mdomo tu tiyari najua; Huyu ni mama huruma na huyu ni kicheche na huyu ni mtera
Midomo mikubwa na mipana huyo ni mama huruma. Hamnyimi mtu bali huwahurumia wanapomlilia. Midomo membamba na kidomo kidogo ni msemaji kama kameza betri ya chapa paka pacha. Akiwa na macho maangavu huyo ni kicheche tena chunga sana pochi yako. Vifundo vimevimbiana na miguu milonjo jua huyo ni mteraMkuu embu nipe hii elimu.. Naihitaji sana
Khaaa π³ π³ π πKama mzuri aolewe basi! Kwanza mwambie asimame mguu sawa tumthaminishe takoo!
Kumbe una macho meupe??Ohooooooo kumbe wenye macho meupe tujivunie eeeh?
Ahhh tusemage ukweli jmn
Bila kupepesa macho huyu dada ni mzuri
Mnanifurahisha wewe na Smart911 wakohahaha. .ulipitamo???
Kuhusu mdomo,nadharia kiasi fulani naweza kuikubali melancholics wengi wanapenda kufanya mapenzi sana,pia wakipata nafasi ya kuonekana si rahisi kumhifadhi arudi kundini.Mkuu embu nipe hii elimu.. Naihitaji sana
Nina macho mekunduKumbe una macho meupe??
Niache na babe wangu tafadhali....... [emoji23][emoji23][emoji23]