yaah kwa huko Mbele kawaida ila kibongo bongo watu wanatukimbiza hata kwa vitz tu!!
mtu full na vitz hadi carwash wakati unaweza kuosha tu na bakuli home!i
Ushachukua ile Macan?
huo ni utajiri au 'middle class'?
mi naona ni upper middle class'
nyumba ya aina hiyo watu wengi middle class wanazo
magari hayo used bei ya kawaida
unless awe anaaigiza new kabisa...
The folly of this flirtatious flossing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame.
Kuna anayemchukia kwa kupiga picha na hivyo vi-gari vikuukuu?
Hebu acheni masikhara bana.
Kamkomesha nani na kivipi?
Yaani mtu kupiga picha za magari ndo watu wakomesheke?
Kama hizo gari si zake je?
I mean, hata mimi hapa sasa hivi naweza kwenda ku test drive 2015 Bentley Flying Spur V8 na kupiga nayo picha nikaiweka kwenye social media.
Sasa kweli hapo nitakuwa nimemkomesha nani? Childish mindset.
The folly of this flirtatious flossing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame.
Huyo hana asset yeyote zaidi y hiyo nyumba nayo haina title ni nyumba ya kawaida tu
humkubali kwa nini?
Haina bati la msauzi!nyumba isiyo na title inakuaje?
Hahahahahahahahaha asituchoshe!
mwana usiwasikilize hao!ni design kama wamepanic kwani hata hao wanaotoka viwanjani wakitua mzizima ni wachache wanacruise na mashine za kustaajabisha!huyo msando japo ana upimbi wake ila katika mandinga jamaa ni chizi magari!...siyo kila mtu aliyopo unyamwezini sio si viilee kama wanavyotaka kutuektia hapa!....nahisi msando zile picha alituma purposely kuwakomesha wabeba box viwanjani
ndo walewale!umepanic bro!relax! mwana hajatest ili auzie sura vile vipando anavimiliki
Huyo tushamzoea gari nyingi hazina document istoshe nyumba nayo hana title
Saa ingine huwa mnaona vitu visivyopo!
we umepanic unataka kutumia mgongo wa kiranga tukuelewe!...we tulia wana wafanye yao
Huyo hana asset yeyote zaidi y hiyo nyumba nayo haina title ni nyumba ya kawaida tu