Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
ile A hook up sio yake naona anaipromote sana?

halafu ule u wakili sio asset? Si ana kampuni yake Alberto Msando Attorney?

mwana usiogope majina!hiyo hook up umewahi kuiona au jina limekutisha?ni kigrocery tu kipo kwenye barabara ya vumbi ila kwa kuwa arusha kuna uhaba wa viwanja vya kujirusha ndo wanaikikisha!ile hook up haigusi hata kwa twitter kinondoni manyanya
 
mwana usiogope majina!hiyo hook up umewahi kuiona au jina limekutisha?ni kigrocery tu kipo kwenye barabara ya vumbi ila kwa kuwa arusha kuna uhaba wa viwanja vya kujirusha ndo wanaikikisha!ile hook up haigusi hata kwa twitter kinondoni manyanya

Niliona mapicha mapicha kuna siku TID alikua ana paform!!
 
mwana usiogope majina!hiyo hook up umewahi kuiona au jina limekutisha?ni kigrocery tu kipo kwenye barabara ya vumbi ila kwa kuwa arusha kuna uhaba wa viwanja vya kujirusha ndo wanaikikisha!ile hook up haigusi hata kwa twitter kinondoni manyanya

Ah tafwaaaazali!
 
ile A hook up sio yake naona anaipromote sana?

halafu ule u wakili sio asset? Si ana kampuni yake Alberto Msando Attorney?

Hookup ni pub y kawaida sana istoshe pale kapanga,uwakili alikua juu sana kipindi flani bt cjui michezo imekua mingi wateja wamekacha.hivi mtu unajaza magari huna asset halafu unadai ana hela huoni hpo iko shida
 
Au dadake King'asti alitununulia dikshenare?
Apite hiiivi >>>>>>>>> na yai lake!
Sie atuwache tushangae marange rover ya Adivoket wetu hata kama mziki wake pande zile ni tia maji tia maji! Sosi amu


ah angepost vitz au oppa ,wangesema ah bora hata angepost range au Benz!!

kapost hayo, wanasema angepost Bentley sijui macah huko!!

siku akipost hayo,watasema bora sijui nini huko!!

vamlekai advocate witu!!
 
Last edited by a moderator:
Mwaka huu mtajipanga hehehe. Nacheka kama mazuri. Chezeiya kuwa inspayadi?
Au dadake King'asti alitununulia dikshenare?
Apite hiiivi >>>>>>>>> na yai lake!
Sie atuwache tushangae marange rover ya Adivoket wetu hata kama mziki wake pande zile ni tia maji tia maji! Sosi amu

Na jina la mtaa halijulikani kama kwa yahya
Haina bati la msauzi!
Lol!

Mi staki uchokozi wako. Huko huko. Nenda gugo transileita
what makes u think that his folly of floosing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame?
King'asti
 
Last edited by a moderator:
Yeah dat wassup,ymcmb rich forever! Big up mmenye kaza kaza,wao za madingi wewe zako mwenyewe! Kamua kamua mpaka ekenywa waombe poooo! Brrrrrr ymcmb $$$$$.
 
ah angepost vitz au oppa ,wangesema ah bora hata angepost range au Benz!!

kapost hayo, wanasema angepost Bentley sijui macah huko!!

siku akipost hayo,watasema bora sijui nini huko!!

vamlekai advocate witu!!

Eeeena vamlekai tu!
Yenyeee magaaali haya kuperamiho kule hata Buruda Yukundusi hayajui!
Pepayiii weeeenga!
Vamlekaai tu!
 
Mwaka huu mtajipanga hehehe. Nacheka kama mazuri. Chezeiya kuwa inspayadi?

Na jina la mtaa halijulikani kama kwa yahya

Mi staki uchokozi wako. Huko huko. Nenda gugo transileita

Hahahahahahahaha huu Uzi sikutegemea ungenivunja mbavu zangu hivi!
 
Nimeyatamani maisha ya Msando.. Haya si ya anasa tena kwa ulimwengu wa sasa wa TEHAMA.. Ni basic need kuwa na reasonable and objective domicile, cars, misosi mizuri mezani, watoto shule bora, wife stress free zone e.t.c #GetAngry #Getinspired ... Nina hasira na nimewiwa na hii gape... One day YES
 
ymcmb-e1329072585653.jpg

Life so priceless, nigga you understand me?
Its just like that.
My car so priceless, my bitch so priceless, my
familia is so priceless nigga.
You understand me?
Either you with us or you ain't with us.
Either you in the huddle or you out the huddle.
Either you ridin or we pass flyin by sayin https://jamii.app/JFUserGuide you.
It's Young Money, Cash Money playboy, it's about the size of it, at the rooftop, so hot up here nigga.

#GetAgry #getInspired #TeamMmenya #AtownWassup #Itcanbe_Me
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom