Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
Mjini wanaume ni wale wale halafu wanaume wa chugga washamba sana wakija dar kila mwanamke wanataka kumfunua.
Ila siyo mimi ni hafsa na shamsa ndo waliniambia...wakarudi na ukame wao..

Wewe!!
 
haki ya mama yangu naandika talaka sasa hivi!!!

:banghead::banghead::banghead:

Tit for tat.
Nalipiza na wewe nlivyokukuta jukwaa la chini kabisaaa unang'ang'ania picha?
 
Mjini wanaume ni wale wale halafu wanaume wa chugga washamba sana wakija dar kila mwanamke wanataka kumfunua.
Ila siyo mimi ni hafsa na shamsa ndo waliniambia...wakarudi na ukame wao..

Anaitwa mzee wa tako 1 bao fasta
 
Hookup ni pub y kawaida sana istoshe pale kapanga,uwakili alikua juu sana kipindi flani bt cjui michezo imekua mingi wateja wamekacha.hivi mtu unajaza magari huna asset halafu unadai ana hela huoni hpo iko shida

Alipata chaka la IPTL lakini.........
 

Mkuu umesema kweli mtu hana fixed asset halafu wa2 wanakuha n sifa z kijinga hpa,msando w kawaida sana istoshe nyumba anayokaa y kawaida ila mtu ukisema wa2 watakuambia unawivu
 
Hamna chaka lolote mtu anaweza piga picha n hela z client wke alikua vizuri hpo nyuma bt nw wateja wamesepa shauri y magumashi n cross nyingi

Hela za madafu hazitishi.

Juzi nimemtumia mtu hela za Chrismas bongo, a paltry $600. Kuja kufanya conversion that is a million shillings already!

Vinoti sita tu vya ku spend weekend (Friday tu, hata weekend havimalizi) huko mzigo wa noti.

Sasa ukipiga picha na $5000 -10000 in shillings unazuzua watu.

Halafu watu wenye ushamba kupiga picha na hela ni ma rappers wasioenda shule pamoja na wauza unga.

Sitegemei wakili aliyeona madarasa apige picha na cash, watu wanaenda na ulimwengu wa cards, habari za cash kwani anauza madawa ya kulevya?

kesho keshokutwa akiwa framed kwa case ya "money laundering" na zikitolewa picha kama ushahidi? Atasemaje?
 
kuna CMC kaka zaidi ya hio kuna garage standard nyingi tu wanatengeneza hayo magari...hatuko nyuma kiasi hicho.... anaesumbuliwa na gari yoyote hata Bentley awasiliane na mimi.

Nafurahi kusikia hilo.

Ila hata siku hizo CMC ilikuwapo, ila parts ilikuwa mpaka Nairobi.

Hata Ubalozi wa Marekani ulikuwapo bongo, lakini maswali mengine ukiwauliza walikuwa wanakwambia hawana labor attache ubalozi wa Dar, wana ku refer Nairobi.

Kwa hiyo kuwa na CMC si tija.

Na siongelei mafundi wa vichochoroni, naongelea authorized dealers.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…