Wanawake wa kitanzania sijui huwa mkoje!! Siyo mama Kanumba, mama Diamond mama Hasheem Thabiti!! Khaa yan mwanao akipata jina tu majanga!! Emb ona huyo mama alivyovaa Kiswahili! Limiwani lote hilo na uzee huo ni aibu!!!
Hawa ndo wanaongozana na wanao kwenda club kutengeneza skendo za kwenye magazeti na upashukuna mwingii!! Wanahamia kwa watoto wao na kuwaacha wazee wakisota kwenye vibanda na kwenda kuwa waamuzi wa mambo!! Hovyo kabisa!!
Dah hata kuwaweka pale kwenye ngazi ni huruma tu!! Huyu mama alistaili kuwekwa nje ya eneo la uwanja kabisa!!