Celebrity wa Afrika Akisubiriwa Kwenye Ngazi za Uwanjani

Asante,asante sana!!!!
 
Wabongo siwaelewi hata kidogo mnakaa kuijadili TFF, Samata hatoki kanda ya ziwa samata hajawai kucheza dar young African sasa unategemea nn TFF ipo kwa ajili ya watu wachache sio taifa kwa ujumla kubalini au kataeni huo ndio ukweli
 
Si kwa pozi hilo la uwanjani...nimecheka sana!
Huyo mama hana akili nzuri,imagine BBC wangekuwa uwanjani (sijui walikuwepo?) halafu mama wa mchezaji bora wa Afrika kavaa hivyo!
Hajielewi.....
Ila kwa mujibu wa wadau sio mama yake mzazi nayo pia sio sababu ya kuvaa hovyo.
 
WASUBIRIE SURPRISE TUU...

SAMATTA ATACHUKUA URAIA WA BELGIUM WABAKI WANASIKITIKA NA KULALAMIKA...KWA MAPOKEZI HAYO YA WAZAZI WANGU MIMI KAMA SAMATTA LAZIMA NIPIGE MPIRA MWINGI SANA KISHA NIHAME NA WAZAZI WANGU NIWAACHIE UJINGA NA DHARAU ZAO HAPO TANZANIA.
 
Huyo mama hana akili nzuri,imagine BBC wangekuwa uwanjani (sijui walikuwepo?) halafu mama wa mchezaji bora wa Afrika kavaa hivyo!
Hajielewi.....
Ila kwa mujibu wa wadau sio mama yake mzazi nayo pia sio sababu ya kuvaa hovyo.
kitu cha sun glasses usiku kilihusika..hahah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…