EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
falling into you,sana mkuu
Statistics speaks much louderIla tylor swift kwa selin hapana selin yuko juu zaidi
Celine Dion can't match with Taylor swift record zao hazifananiStatistics speaks much louder
Siku hizi ubora unapimwa kwa takwimu
Duh hili song huwa linanifariji sana kipindi ambacho nahisi napitia kwenye magumu. Jinsi anavyoimba huwa naona kama mlima mbele yangu alafu naupanda huo mlima huku nikiwa nimechoka sana huku machozi yakinitoka najasho jingi likinitililika bila yakukata tamaait's all coming back to me ".
Hii nyimbo huyu mwanamama aliimba aisee acheni mchezo.
πππnakubali mkuuDuh hili song huwa linanifariji sana kipindi ambacho nahisi napitia kwenye magumu. Jinsi anavyoimba huwa naona kama mlima mbele yangu alafu naupanda huo mlima huku nikiwa nimechoka sana huku machozi yakinitoka najasho jingi likinitililika bila yakukata tamaa
Nakubaliana na wew kwa asilimia mia na mojaCeline Dion can't match with Taylor swift record zao hazifanani
Celine is the living legendNakubaliana na wew kwa asilimia mia na moja
YAANI unataka kufananisha CD na TS??? kuwa serious kidogo mkuuKuna messi wa hizo mambo anaitwa
Taylor swift
Ungeuliza kwenye nini mkuu...kwanza style zao za kuimba ni tofauti kabisaYAANI unataka kufananisha CD na TS??? kuwa serious kidogo mkuu
ongezea immortality huyu bibi ni hatari wenyewe wanasema miaka ya 1980-1990 was the years of romanceBaadhi ya nyimbo zake nazozikubali ni
IF YOU ASK ME TO
CALL THE MAN
I WANT YOU TO NEED ME
THINK TWICE
πππYAANI unataka kufananisha CD na TS??? kuwa serious kidogo mkuu
Na zile za kifaransa tamu mno aisee nikiwa natoka job ndio huwa zinanipunguzia uchovu wa foleni na ki IST changu taratiiibu naitafuta mbezi mwishoMy favorite songs
1. Somebody love
2. Immortality
3. I drove all the night
4. Take me back to life
5. It's all coming back
6. Goodbye
7. Because You loved me
Kuna ngoma moja kaimba na sia kama uliicheki interview yake ya carpool alitoa kama kionjo
Mwanamke wa kwanza ni nani mkuu?
ππππππAcha uongo mkuuππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈDuh hili song huwa linanifariji sana kipindi ambacho nahisi napitia kwenye magumu. Jinsi anavyoimba huwa naona kama mlima mbele yangu alafu naupanda huo mlima huku nikiwa nimechoka sana huku machozi yakinitoka najasho jingi likinitililika bila yakukata tamaa
Hahaha mkuu hivi hili song huwa linamaana gani?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Acha uongo mkuu[emoji1379]ββοΈ[emoji1379]ββοΈ[emoji1379]ββοΈ