Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni dola dhidi ya shilingi yetuLeo viwanda vimetangaza upandaji wa bei ya cement, sasa itauzwa kwa kati ya 18,000 hadi 18,500 kwa dar. Najiuliza viwanda tunavyo hapahapa tatizo lipo wapi? Wataalam mtusaidie..
Viwanda kuwa hapa hapa haizuii production costs kupanda hence price.Leo viwanda vimetangaza upandaji wa bei ya cement, sasa itauzwa kwa kati ya 18,000 hadi 18,500 kwa dar. Najiuliza viwanda tunavyo hapahapa tatizo lipo wapi? Wataalam mtusaidie..
Katika hiyo Tsh 18500, Tsh 1,000 ni ya serikali. Halafu angalia Utitiri wa kodi ambao wazalishaji wanalipaLeo viwanda vimetangaza upandaji wa bei ya cement, sasa itauzwa kwa kati ya 18,000 hadi 18,500 kwa dar. Najiuliza viwanda tunavyo hapahapa tatizo lipo wapi? Wataalam mtusaidie..
Hahahahahah. ......mbona viwanda vipo hapo Wazo na Tanga na raw materials wanatoa maweni Tanga na Same? Kwani kuchoma udongo wa alumina unahitaji tanuru la Urani kutoka Iran?Itakuwa kwa sababu ya vita vya huko gaza Iran lebanon syria
Iva