Cement za Rhino na Lucky

Cement za Rhino na Lucky

Kama ulisoma ujumbe wangu wa kwanza, nilimaanisha hivyo ulivyoandika. Huwezi kusema nyumba ya ghorofa moja inachukua tofali kadhaa kwa sababu kuna factors nyingi sana zinafanya nyumba moja iwe na tofali nyingi zaidi ya nyingine hata kama zote zina AREA (eneo) sawa kwenye ramani.

Kwa mfano mie ninapoishi, urefu kutoka kwenye sakafu hadi kwenye Ceiling boards ni kama mita 3, ila kuna maeneo nimeshangia na kukuta urefu kama 2.5m au wengine hadi 4m hata zaidi. Sasa kwa urefu wa kuta hizo, huwezi kusema tofali zitakuwa sawasawa kwa idadi.

Akienda kwa Mchoraji ramani au mjenzi na ampe ramani ya nyumba yake, anaweza kupewa idadi ya karibu ya tofali.

Pia hata tofali zenyewe zinapishana. Kwa Kiingereza kuna Bricks na Blocks. Hata hizo Bricks na Blocks zinapishana na ndiyo maana kuna sijui British Standard, European Norms etc....

Kwa ufupi, swali lake lipo too general na kama kuna mtu atamjibu basi anamdanganya.
Sidhani kama aliuliza kwa ubaya nadhani huwezi kujenga bila kujua gharama ya utakacho kijenga... Thats why hata msanifu majengo akikuchorea ramani unayoitaka atakupa estimated cost ya jengo husika.. Then utaangalia kama utaafford au la abadilishe ramani. Labda ungemwambia amtafute Archtecture amuulize hilo swali.
 
Luka 14 : 28 - 30

14.28 Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kuumalizia?
14.29 Asije akashindwa kuumaliza baada ya kuupiga msingi, watu wote waonao wakaanza kumdhihaki,
14.30 wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.

Unanitisha kwa kagorofa kamoja hivyo ningekuambia malengo yangu baada ya miaka 10 si ungesema mi ni mwehu.

Usilolijua litakusumbua.
hakika hujaelewa ulichojibiwa, labda kwa kukusaidia, nyumba yenye ukubwa wa 300sqm na nyumba yenye ukubwa wa 150sqm zinaweza zote zikawa na function zinazofanana, yaani 3bedrooms, kitchen, master bedroom etc, kwenye ujenzi haziwezi kufanana cost, ndo maana fundi mchundo Sikonge akakujibu kwa mfano wa picha, na hili nalo ukibisha basi jibu ni mifuko 2000 ya cements,
 
Sidhani kama aliuliza kwa ubaya nadhani huwezi kujenga bila kujua gharama ya utakacho kijenga... Thats why hata msanifu majengo akikuchorea ramani unayoitaka atakupa estimated cost ya jengo husika.. Then utaangalia kama utaafford au la abadilishe ramani. Labda ungemwambia amtafute Archtecture amuulize hilo swali.
jibu la Sikonge lilikuwa sahihi sana, shida ni kwamba mlimtafsiri vibaya, labda kwa vile katoa na picha ya bigshow mkadhani kajibu kwa dharau,
ni hivi, huwezi ku'estimate idadi ya mifuko ya cements kwa kujua tu idadi ya function space, kama bedroom, sitting, kitchen and the likes, hizo function space zinatofautiana toka kwa mtu mmoja na mwingine, mwingine anataka sitting room yenye 40sqm, mwingine sitting room yenye 16sqm, hiyo tu inatofautisha ukubwa wa nyumba, hata kwenye bedrooms hivyo hivyo, kuna bedrooms 10sqm na nyingine 20sqm kutegemeana na cliants needs, ndo maana Sikonge akamwambia mleta swali kuwa details zaidi zinahitajika, angetoa hata built up area ingekuwa rahisi ku'estimate.
 
Sidhani kama aliuliza kwa ubaya nadhani huwezi kujenga bila kujua gharama ya utakacho kijenga... Thats why hata msanifu majengo akikuchorea ramani unayoitaka atakupa estimated cost ya jengo husika.. Then utaangalia kama utaafford au la abadilishe ramani. Labda ungemwambia amtafute Archtecture amuulize hilo swali.
Nakushkuru kwa kunielewa na kujibu vyema ila sielewi ni lugha gani ngumu kiasi hicho nilitumia nikaeleweka vibaya hivyo.
 
Nakushkuru kwa kunielewa na kujibu vyema ila sielewi ni lugha gani ngumu kiasi hicho nilitumia nikaeleweka vibaya hivyo.
duh! pamoja na ufafanuzi wote huo bado tu hujaelewa umeweka bifu????
 
duh! pamoja na ufafanuzi wote huo bado tu hujaelewa umeweka bifu????
Wala siwezi kufanya hivyo Mkuu kilichoniacha hoi ni hicho kwenye RED.
Ukimaliza kujenga, kwenye finishing kama kupaka rangi, mabomba, sakafu, ngazi, umeme nk ndiyo utakuja kukumbuka maneno yangu. Ningelikujibu ovyo ila nakuacha kwa leo na kuombea malengo yako ya miaka 10 ijayo yatimie maana mie sina roho korosho kama unavyoonekana wewe. Sasa hivi huna kitu, unasubiri miaka ijayo na unasema niachane na wewe, ukipata hizo fedha zako miaka 10 ijayo, sijui itakuwaje?

Diana Ross aliimba, more money, more problem.

Kwa kweli sijuiyalitokea wapi may be this reply its not mine.
 
umeuliza swali zuri sana...mimi ni civil engineer na ninajua ubora wa cement mbalimbali...........ukweli ni kwamba watu wengi sana wanauziwa cement zenye ubora mdogo pasipo wao kujua..................kuna cement za barabarani ambazo huwa zinamwaga ili kufanya soil stabilization ambazo mara nyingi ubora wake ni mdogo ambao ni 30.2N hadi 32.5N kwa kiwango cha kiutalaam na watu wamekuwa wakiuziwa hizi cement na kujengea nyumba pasipo wao wenyewe kujua.Cement ambazo unatakiwa ujengee nyumba inatakiwa iwe 40N au 42N.Mimi katika mtaa ninapoishi watu wengi wanachakachuliwa cement pasipo wao kujua.Unakuta mtu anauza cement ambazo amezichanga na zile za barabarani ili apate faida kubwa.ukweli ni kwamba cement za barabarani bei yake ni ndogo kwa hiyo akizichanganya anapata faida kubwa.

NB:JITAHIDI UKIENDA NUNUA CEMENT SOMA MFUKO HADI UONE 40N AU 42N UBORA WA CEMENT.MAFUNDI WENGI HAWAJUI KIINGEREZA NDIO MAANA HAWAWEZI KUJUA LAKINI WANAWEZA ANGALIA HIYO NUMBER 40N AU 42N.
thanx 4 nondo
 
Vimefungiwa ivyo na magufuli.. Vinadaiwa mamilion na tanesco

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Back
Top Bottom