Century of humiliation ilikuwa ni somo lenye maumivu makali kwa China hali leo ila kwetu Afrika Slave trade na Colonialism havituumizi

Century of humiliation ilikuwa ni somo lenye maumivu makali kwa China hali leo ila kwetu Afrika Slave trade na Colonialism havituumizi

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Ukiulizwa sababu za China kuendelea na kujitegemea unaweza taja utitiri wa sababu lakini sababu kuu ya China kuendelea ni kuichukia historia nzima wao wanaiita "Century of Humiliation"


Hiki ni kipindi wachina waliishi katika maisha ya hovyo katika historia yao toka kuvamiwa na mataifa ya nje.

Walipambana na kujitoa katika makucha hayo na wakajiapiza haitakuja kurudia tena wao kufanya uzembe wa kuiishi chini ya mataifa ya nje na kunyanyaswa na kudharirishwa na kutweza utu wao.

Hii historia wachina wanaichukia sana na mara zote husema ni wao wenyewe walisababisha mpaka wakawa humiliated kwa sababu walikubali kuwa weak kila pande zinazohusu uimara wa taifa lao.

Leo hii wachina na serikali wanafanya kazi kwa bidii na mipango mikali kwa sababu wana amini kitu kimoja tu kuwa wakiwa imara kila pande hawatoweza kuwa humiliated tena na taifa lolote lile

2021 Xi Jinping Rais wa China na katibu wa chama cha kikomunisti aligusa hili kwa ujumbe mkali sana kwa taifa lolote litakalo jaribu kuwachokoza wachina walishangiliana sana pale Tianmen Square

View: https://youtu.be/8lyuvUDpLtI?si=1-32DzGK3_hCUFzV

Kwetu sisi waafrika ni kinyume chake kweli sisi hatuumia hata kidogo na historia ya utumwa na ukoloni hizi historia hazituumizi hata kidogo.

Na hata hatujutii makosa yetu mpaka kufikia kwenye utumwa na ukoloni.
 
Ukiulizwa sababu za China kuendelea na kujitegemea unaweza taja utitiri wa sababu lakini sababu kuu ya China kuendelea ni kuichukia historia nzima wao wanaiita "Century of Humiliation"


Hiki ni kipindi wachina waliishi katika maisha ya hovyo katika historia yao toka kuvamiwa na mataifa ya nje.

Walipambana na kujitoa katika makucha hayo na wakajiapiza haitakuja kurudia tena wao kufanya uzembe wa kuiishi chini ya mataifa ya nje na kunyanyaswa na kudharirishwa na kutweza utu wao.

Hii historia wachina wanaichukia sana na mara zote husema ni wao wenyewe walisababisha mpaka wakawa humiliated kwa sababu walikubali kuwa weak kila pande zinazohusu uimara wa taifa lao.

Leo hii wachina na serikali wanafanya kazi kwa bidii na mipango mikali kwa sababu wana amini kitu kimoja tu kuwa wakiwa imara kila pande hawatoweza kuwa humiliated tena na taifa lolote lile

2021 Xi Jinping Rais wa China na katibu wa chama cha kikomunisti aligusa hili kwa ujumbe mkali sana kwa taifa lolote litakalo jaribu kuwachokoza wachina walishangiliana sana pale Tianmen Square

View: https://youtu.be/8lyuvUDpLtI?si=1-32DzGK3_hCUFzV

Kwetu sisi waafrika ni kinyume chake kweli sisi hatuumia hata kidogo na historia ya utumwa na ukoloni hizi historia hazituumizi hata kidogo.

Na hata hatujutii makosa yetu mpaka kufikia kwenye utumwa na ukoloni.

wabongo tunasema ishi tu
 
Wachina wanajua walikotoka. Kwa maelfu ya miaka China ndiyo imekuwa sehemu tajiri zaidi duniani. Sisi Wazungu wamefanikiwa kutujaza kwamba kabla ya kuja kwao watu weusi hutujawahi fanya lolote la maana duniani, na kuwa ni watu inferior. Hilo ndilo linalotuzuia kutoka kwenye mkwamo. Kila kitu kinaanzia kwenye mindset.
 
Mfumo wa kudai uhuru wetu umetufunga ndio kisa angalia mpaka tunapata uhuru ni kwa vijimasheriti vingi
 
Mfumo wa kudai uhuru wetu umetufunga ndio kisa angalia mpaka tunapata uhuru ni kwa vijimasheriti vingi
Kama ishu ni mashariti fuatilia sakata la China na kurudishwa kwa Hong-Kong na Macao.

Hatujafungwa kwa chochote kile mpaka tushindwe kuendelea.
 
Upo sahihi
Lishe Bora na Elimu Bora huongeza IQ kwa asilimia kubwa.

makangwane-2-use-.jpg

Shule👆 wakati viongozi wanatembelea Ma V8eitee "unayajua mavieitee weweee..." alisikika Balozi wa Tanzania Cuba.
 
Huwezi kuwa huru ikiwa bado mtumwa. In Africa Siasa za kubembelezana, hekima ya kinafki na demokrasia ya uongo vimechangia kufikia hapo. China ni socialist country which practice positive development dictatorship mannerism ambayo huleta effective success.
 
Kama ishu ni mashariti fuatilia sakata la China na kurudishwa kwa Hong-Kong na Macao.

Hatujafungwa kwa chochote kile mpaka tushindwe kuendelea.
Mkuu ishu ya malikiaa Elizabeth Africa wanaichukuliaa sana
 
Kama ishu ni mashariti fuatilia sakata la China na kurudishwa kwa Hong-Kong na Macao.

Hatujafungwa kwa chochote kile mpaka tushindwe kuendelea.
Hapa tunahitaji kupigana na mambo ambao waliotangulia wameharibu yaan hakuna cha malikia Elizabeth Kwakua Ardhi ni ya nchi yetu hakuna mambo ya kusema tulipewa uhuru kwa kutoa hiki hakuna timua ote wakipinga basi tupigane hakuna namna
 
China alishavunja kila kitu kilichowekwa na mjapani kusema eti mtawala kwakua alikuwepo na Africa tunahitaji kutoa huo uozo wakusema alie tutawala alitupa uhuru kwa kutoa hiki akuna
 
Kwetu sisi waafrika ni kinyume chake kweli sisi hatuumia hata kidogo na historia ya utumwa na ukoloni hizi historia hazituumizi hata kidogo.
ndio utueleze tuanze kuumia. Tena.😡😡🏌‍♂️
 
Back
Top Bottom