CEO Barbara amefeli na hatokuja kuinufaisha Simba SC

CEO Barbara amefeli na hatokuja kuinufaisha Simba SC

Hatukauliza Maendeleo.

Tunataka kujua amefanikiwa katika project gan ambayo ameianzisha yeye kama yeye..?
ushabadilika hujui unataka nini, unataka kujua project gani ameanzisha yeye kama yeye!,wakati uzi wako huu unalalamika Babra ajaleta maendeleo,eleweka unamalalamiko yepi,unataka project au maendeleo ya Babra?
 
Nafikiri ni bora kuwa na akili za kimbuz kuliko kuwa na akili za kikondoo, kondoo na mbuz nani mwenye unafuu, kama mnajua ivyo muache na yeye mwenyewe aache kujilinganisha na senzo, unalinganisha mlima na kichuguu mnazo akili kweli nyie!
Fatilia kuna taarifa ilitoka mwaka jana na uzi upo humu jf,kichwa cha habari kinasema"Babra akataa kulinganishwa na Senzo"
uwe unafatilia mambo kabla ya kucomment.
 
Wanajamvu huyu mwanadada huwa sijawahi kabisa kumuelewa.

Tangu apate ile nafasi pale Simba SC naona kama amewarudisha sana nyuma wale Jamaa. Hakuna jambo amefanya ambalo mwanasimba anaweza kuona umuhimu wake.

Mwenzake Senzo ana mafanikio ambayo yanaonekana na kuelezeka.

Sasa huyu mwanadada kila atakacho gusa ni lazima kiishie kati.

Alikuja na mkakati wa Kikaragosi Cha Simba SC mwisho wa siku kikaragosi chenyewe hakionekani tangu wadau wadai kuwa kinawatisha watanzania.

Alikuja na mpango wa kuchangisha pesa za uwanja, ikafika hatua wakakusanya mil 60 tu ndani ya miezi 3. Na mkakati huo ukaishia hapo hapo.

Yeye alihusika pakubwa kwenye kuongoza jopo la kumpata kocha mpya. Akakurupuka wakaleta. Didier GOMES Da Rosa. Na sasa kawapoteza mazima na kasepa.

Leo Ameita waandishi wa habari waongozane naye kwenda Bunju ili wachukue tukuo zima ambapo Architect akichukua vipimo. Tena wakiwa wamevaa Reflectors na Helment kabisa. [emoji23][emoji23]

Sasa unaanza kujiuliza huo ujenzi utaanza kwa kutegemea pesa ya kampeni ya NaniZAIDI? Yaani milioni 101 kweli ndio za kumfanya mtu aanze kutafuta mkandarasi?

Huyu Dada ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa CEO SENZO wa DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS.

Kama kuna jambo lolote ambalo amefanikiwa ndani ya miama yake 2 akiwa pale naomba mnitaarifu nimekaa pale nasoma Comments zenu!
.
FB_IMG_1611660294488.jpg
 
Back
Top Bottom