tulipigwa nje ya uwanja kwanza kwa hongo ya 10,000 kwa morisoni hadi hakucheza cku iyoHii ndio imekuwa wimbo utadhani mlishinda mechi. Inakuwa kama mlivyokuwa mnasherehekea goli la Morrisson kila mwezi, matokeo yake mkaja kupigwa goli 4-1
Baada ya kucheka?tulipigwa nje ya uwanja kwanza kwa hongo ya 10,000 kwa morisoni hadi hakucheza cku iyo
ila tuisila hafai onyango alibamiza kipara chini nilicheka sana siku ile.
hadi leo nacheka mkuu,nyau wanalia tuBaada ya kucheka?
Kweli wewe b.w.e.g... SIFA KUBWA YA HAYA MASHINDANO NI KUWA MSHIRIKI WA CHAMPION LEAGUE YA AFRICA. Sasa jiulize Yanga ANAINGIAJE HAPO. Yanga haikutosha VIGEZO.walijua yanga lazima wawafilimbe hahahaha wakaogopa wakaamua alika wazembe wazembe
alicho kifanya tuisila kwa onyango wanakikumbuka hahahahaha
kwamba wewe wajua sifa hiyo kubwa kuliko waliondaa na.kutaka kuwashirikisha.mabingwa wa.kihistoria.Kweli wewe b.w.e.g... SIFA KUBWA YA HAYA MASHINDANO NI KUWA MSHIRIKI WA CHAMPION LEAGUE YA AFRICA. Sasa jiulize Yanga ANAINGIAJE HAPO. Yanga haikutosha VIGEZO.
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Utopolo mnafanyia wapi mazoezi leo? Tandale primary school au Mwananyamala?hadi leo nacheka mkuu,nyau wanalia tu
Kuwa bingwa wa kihistoria ndio kulifanya msialikwe. Walio alikwa ni mabingwa kwa hiyo subirini kualikwa kwenye mashindano ya ubingwa wa kihistoria ambapo mtaalikwa nyinyi utopolo, majimaji, Kmkm na wengine wenye ufanano na nyinyi utopolo.al
kwamba wewe wajua sifa hiyo kubwa kuliko waliondaa na.kutaka kuwashirikisha.mabingwa wa.kihistoria.
Umelisoma bandiko lakini kwa nini walitaka alika mabingwa ama.umekirupuka kuonesha kiwango chako cha ujinga
mkuu bingwa wa kihistoria huwa ni mmoja tu england unamkuta man u, italy juve hapa yanga ww kufika huko si leo na inawezekana usifike.Kuwa bingwa wa kihistoria ndio kulifanya msialikwe. Walio alikwa ni mabingwa kwa hiyo subirini kualikwa kwenye mashindano ya ubingwa wa kihistoria ambapo mtaalikwa nyinyi utopolo, majimaji, Kmkm na wengine wenye ufanano na nyinyi utopolo.
Uko sahihi ila hicho sio kigezo cha kualikwa, nimekuambia walioalikwa ni mabingwa wa sasa nyinyi subirini kualikwa kwenye mashindano kwa vigezo vya mabingwa wa kihistoria.mkuu bingwa wa kihistoria huwa ni mmoja tu england unamkuta man u, italy juve hapa yanga ww kufika huko si leo na inawezekana usifike.
unajiita bingwa unapigwa na ruvu
Ujue mechi iliisha kwa sare ya 1-1, Simba wanalia kweli kama ulivyosema, maana sio level yao kutoa sare na Yanga. Kwa upande mwingine Yanga wanachekelea hadi leo ile sare, na uthibitisho ni wewe mmojawaohadi leo nacheka mkuu,nyau wanalia tu
Lokosa ,maduhwa ,na matakataka mengine mmesajiri sitaUnachekesha wewe jamaa.
Apo kuna timu imechukua kombe la Africa mara mbili mfululizo wewe ambae hata robo ujawai kunusa unawaona wazembe?
Nyinyi ata uwanja wa mazoezi tu hamna,mishahara ya wachezaji pia hamna,mnasijili wachezaji miezi sita sita.
hicho kigezo ni kwa mujibu wako ama barbaraUko sahihi ila hicho sio kigezo cha kualikwa, nimekuambia walioalikwa ni mabingwa wa sasa nyinyi subirini kualikwa kwenye mashindano kwa vigezo vya mabingwa wa kihistoria.
Kiufupi ni kuwa ili mualikwe mlitakiwa muwe mabingwa sasa na sio muanze kutukumbusha historia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! Wabongo mnajua kurudisha majibu. ”kiutelembwe”Mbona sjiaona CEO aliposema yanga wamekosa vigezo?
Hiki kiutelembwe kina matatizo kisameheni tu
Jua tu kama hujaalikwa huna vigezo.hicho kigezo ni kwa mujibu wako ama barbara
ndo barbara amesema hivoJua tu kama hujaalikwa huna vigezo.
Kwa hiyo yanga ni zaid ya To Mazembe.Duuuh! Umeacha wapi akili,au kuna mtu kakushikiawalijua yanga lazima wawafilimbe hahahaha wakaogopa wakaamua alika wazembe wazembe
alicho kifanya tuisila kwa onyango wanakikumbuka hahahahaha