CEO wa Simba mashabiki walistuka kwamba wewe ni Yanga. Nimeanza kuamini

CEO wa Simba mashabiki walistuka kwamba wewe ni Yanga. Nimeanza kuamini

Kuna standards zikiwa set kuna namna post kama hizi hatutaona.

Kwa Tz timu zenye msuli wa kifedha ni 3. Hizi timu 3 zikaset standard kwamba malengo ni international achievement kuna vitu vingi vitabadilika.

Kwanza mikataba haitakua ya sasa ya mwaka mmoja au miwili.

Kocha atachagua nani asainiwe.

Kocha atahukumiwa kwa project nzima na siyo kufungwa kwenye derby.

Timu zitalazimika kuendana na standards za nje, wasemaji wa timu automatically watakua makocha. Wapiga domo watatafuta maisha mengine.

Rekodi kubwa na ndogo zitaanza kutunzwa.

Eventually mashabiki watajua kua mafanikio ya timu siyo kushinda derby.

Ila kwa sasa shabiki anatarajia ceo alie kisa mechi moja. Siyo project kufeli, no, ni mechi moja.
Umeandika point sana
 
Kenge nyie mnatakiwa mpigwe zingine 5 mfunguke vizuri subiri mechi ya marudio

Mwezi unaisha jambo ni hilo tu imekuwa DPW?

Mo ana akili kumbe ye kanyamaza
Kutana na wasiochangia hata 100 nyenyenye

[emoji16] CEO anaambiwa mbona we hulii mbwa nyie na bado hadi mashabiki mtatajana tu muda bado
 
Kwa hiyo ulitaka huyo CEO ajitokeze hadharani na kuanza kulia, ili aonekane ana huzuni ya timu yake kufungwa goli 5-1 na Yanga!! Au ulitaka awe mkali kwa wachezaji, kwani yeye ni kocha?

Kwa hili unawaaibisha mashabiki wenzako.
Mleta uzi ni gongowazi mwenzako
 
Hamumjui kajula
Ndio mwazilishi wa Simba day
Miaka hio mkiwa kwenu manjilinji
Kajula anakuwaje yanga kwa mfano
Simba day ilianzishwa na dalali au kwa sababu hajasoma . Kajura ni mfanyabiashara alitumia uwepo wake kuifanikisha. Hata Ahmed Ally ni yanga, kwa kifupi tangia Simba ianzishe.mageuzi umakini umepungua
 
Kipindi klabu ya Simba inamtafuta CEO mpya mashabiki wengi walitoa maoni yao kwamba KAJULA anao unasaba na Young Africans, viongozi wakaendelea na mchakato na wakampa ajira.

Hata baada ya kupigwa goli 5-1 jamaa hana wasiwasi kwasababu yeye ni Yanga na yupo Simba kwa malengo ya kufanikisha yale yote ya upande wa pili.

Hakuna popote anaposikitika wala kuwa mkali kwa wachezaji waliocheza chini ya kiwango.

Huyu pia hatufai, wachunguzeni Kajula na Mangungu vizuri.

Tutaendelea kupigwa sana na Yanga.
hata wewe mwenyewe yanga ila hujijui tu kifupi hii kila mtu yanga hizi timu nyingine zipo kuchangamsha tu
 
Back
Top Bottom