Yeah, GSM angepigana apate udhamini ukuu ambao kisheria ndio unaotajwa katika maandishi. Mdhamini mwenza hajatajwa kabisa katika maeneo hayo anayoyatakaWashauri qa GSM angekuwa na akili za kibiashara wangemshauri GSM awe mdhamini mkuu wa championship league. Gia aliyotumia kuwa mdhamini mwenza wa league kuu itamgharimu sana. Machawa huwa wanapoteza sana. Ngoja tuone mwisho wa hili sakata.
Umeandika kama mbuzi unakula huku unatoa kinyesi. Mshenzi mkubwa wewe.Na kama ni mtanzania naomba akaimu urais na awe mgombea mwenza wa Lisu 2025
Ati nimeandika kama? Ww uto?Umeandika kama mbuzi unakula huku unatoa kinyesi. Mshenzi mkubwa wewe.
Mkuu legeza hilo fuvu ndy utaelewa hojaUmeandika kama mbuzi unakula huku unatoa kinyesi. Mshenzi mkubwa wewe.
ID yako inajipambanua tu kuwa wewe ni mtu wa aina ganiWakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.
Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.
Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.
Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Kipi cha msingi huyo barbara anasema,we ngoja akutane na bodi ya ligi apewe majibu mjarabWakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.
Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.
Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.
Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Kwa hiyo umeumia mke mwenzio kupata kazi Simba?Badala ya kuweka mtu wa mpira kama Senzo kuwa mtendaji mkuu, unampa hawara shida ilianzia hapo
Badala ya kuweka mtu wa mpira kama Senzo kuwa mtendaji mkuu, unampa hawara shida ilianzia hapo
Mashabiki wa Uto wanagombana na madam c.e.o wa Simba.Kwani nini kinaendelea?
Watamuweza sasa?Mashabiki wa Uto wanagombana na madam c.e.o wa Simba.