CEO wa Simba Sports Club Barbara Gonzalenz ni kiongozi wa aina gani

CEO wa Simba Sports Club Barbara Gonzalenz ni kiongozi wa aina gani

busha

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
1,712
Reaction score
2,577
Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.

Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.

Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.

Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
 
Washauri qa GSM angekuwa na akili za kibiashara wangemshauri GSM awe mdhamini mkuu wa championship league. Gia aliyotumia kuwa mdhamini mwenza wa league kuu itamgharimu sana. Machawa huwa wanapoteza sana. Ngoja tuone mwisho wa hili sakata.
 
Washauri qa GSM angekuwa na akili za kibiashara wangemshauri GSM awe mdhamini mkuu wa championship league. Gia aliyotumia kuwa mdhamini mwenza wa league kuu itamgharimu sana. Machawa huwa wanapoteza sana. Ngoja tuone mwisho wa hili sakata.
Yeah, GSM angepigana apate udhamini ukuu ambao kisheria ndio unaotajwa katika maandishi. Mdhamini mwenza hajatajwa kabisa katika maeneo hayo anayoyataka
 
Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.

Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.

Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.

Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
ID yako inajipambanua tu kuwa wewe ni mtu wa aina gani
 
Badala ya kuweka mtu wa mpira kama Senzo kuwa mtendaji mkuu, unampa hawara shida ilianzia hapo
 
Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.

Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.

Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.

Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Kipi cha msingi huyo barbara anasema,we ngoja akutane na bodi ya ligi apewe majibu mjarab

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Simba team ya kipumbavu uyu demu kaachiwa kusajiri kaleta kanoute na sanko na banda takataka tupu
 
Ikitokea Patrick kulvert akaona huu uharo unaoandikaga atajinyonga,your just an empty set.
Badala ya kuweka mtu wa mpira kama Senzo kuwa mtendaji mkuu, unampa hawara shida ilianzia hapo
 
Back
Top Bottom