Cha asubuhi kitamu

Cha asubuhi kitamu

Cha asubuhi kina kanuni zake, no romance ni mwendo wa kukamatana na kukamatia, maandalizi yanakuwa tayari kila mtu yupo "ready-made".
Hapo kwenye mechi kuanzia bila vimichezo ndio sitakagi Mimi,Nina mausingizi yangu nashangaa tu hiyoooo sipendi basi tu Sina namna! wanasema ukiondoka nyumbani hujala ugali barabarani utatamani Kila unachokiona,si magimbi wa viazi utavutiwa navyo.
 
"Kwa walioishi pamoja Kwa mda mrefu sidhan kama Cha asubuh ni mchongo

Ukishapiga Cha moninge unakua swaaafi kiakili hata ukienda kwenye utafutaji huna muda na mambo ya kipuuzi hata ukiona mishangazi huna mzuka"
Hv ukiskia mtu anasema hvo utamshauri nn
 
Hapo kwenye mechi kuanzia bila vimichezo ndio sitakagi Mimi,Nina mausingizi yangu nashangaa tu hiyoooo sipendi basi tu Sina namna! wanasema ukiondoka nyumbani hujala ugali barabarani utatamani Kila unachokiona,si magimbi wa viazi utavutiwa navyo.
Michezo inakuwepo ila kuna limitations, hata kupiga vigelegele haipo(kwa mdau kama wewe🤣). Ila joto la asubuhi linafanya process inakuwa more enjoyable yani. Usipuuzie cha asubuhi lejendi🤣🤣
 
Michezo inakuwepo ila kuna limitations, hata kupiga vigelegele haipo(kwa mdau kama wewe🤣). Ila joto la asubuhi linafanya process inakuwa more enjoyable yani. Usipuuzie cha asubuhi lejendi🤣🤣
Najua kuhusu joto,ila kinachoniudhi ni kule kukosekana Kwa "vya shangwe"🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom