Cha kujifunza kutoka kwa wachangiaji wa Tanzania

Cha kujifunza kutoka kwa wachangiaji wa Tanzania

Watanzania hata kwenye kuongea huwa na maneno mengi nafikiri ni hulka yao. Kuna polisi Mkenya alikua anasema akimkamata Mtanzania Itabidi asimpe fursa ya kuongea maana ataongea kama mashini.

Japo pia kuna wale huwa napenda analysis zao kule kwa hayo majukwa mengine, tatizo Watanzania wengi wana uzembe wa kusoma, utakuta mtu ameandika taarifa ndefu yenye analysis muhimu lakini jamaa wanachangia kwa maneno machache yaliyojaa kejeli.

Waandishi wengi walitamaushwa na ni wachache waliosalia wanaoandika vizuri hivyo. Ipo wakat JF ilikua ya great thinkers, siku hizi imevamiwa na madogo wavaa milegezo wasiokua na heshima.

Binadamu wote hawako sawa, mtandao ni tasnia huru ambayo haibaguwi uwezo wa mtu yoyote. Ukisema watu hawasomi na wanachagia maneno yenye kejeli, lakini huo ndio Uhuru wa kimtandao. Hata zamani mtandao kama Facebook au YouTube ilikuwa na watu wanaweka mambo yenye mantiki na weledi wa juu. Lakini kwasababu siku hizi mawasilino yamekuwa rahisi kila mtu anaweza kujiachia anavyotaka mtandaoni. Unaweza kwenda YouTube na ukakuta live stream mtu kaweka paka mbele ya kamera masaa 24.
 
Sijawahi fika huko kwa great thinker. Wacha nitapita huko
Tembelea, ila ukitaka kuchangia uombe permission tofauti na hapo utaishia kuona tu na kusoma maoni ya wengine kama guest wakati umeregister hapa JF[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Thats the truth of this world (and what many foolishly proud folks fail to acknowledge) is that we all have something to learn from others.Sitadharau mTurkana ,mZambia ,mChagga ,Senegalese ama mtu wa Mexico sababu hao wote wana kitu naweza kujifunza toka kwao.
 
Thats the truth of this world (and what many foolishly proud folks fail to acknowledge) is that we all have something to learn from others.Sitadharau mTurkana ,mZambia ,mChagga ,Senegalese ama mtu wa Mexico sababu hao wote wana kitu naweza kujifunza toka kwao.
Kweli kabisa mkuu, ingekuwa ni zile enzi zangu za Imara kama simba Ice baridi, ningekurushia mbekse! Lakini sasa itabidi ukauke ivo tu! 😀
 
Nilichojifunza JF hapa ni ile tabia ya baadhi ya wachangiaji kusubiri mwenzie achangie na yeye kumkejeli, yaani wanaleta tabia ya facebook kwenye forum. Nilijifunza jinsi Admin anavyowadhibiti wachangiaji kule Nairaland Forum African Militaries - Foreign Affairs kiasi ambacho Nigerians, South Africans, Kenyans, Algerians, Egyptians, etc, etc respect each other when commenting.
 
Naomba kwamba wale wanaopenda kuharibu nyuzi kwa kuleta mapishano ya TZ vs KE watulie kidogo.

Kuna jambo moja ambalo nimegundua kuhusu baadhi ya wachangiaji wa TZ kwenye JF (Haswa kwa majukwaa mengine kama vile la siasa.) Utapata kwamba mara nyingi, hawa ndugu zetu huwa na uwezo wa Kuandika na kusoma mambo mengi kutushinda sisi. Sisemi eti anayeandika mambo mengi ana hoja kali, lakini nimekuja kuona kuwa nyuzi zetu nyingi iwe hapa, au Wazua, Nipate, au Hata JamiiForums.com huwa ni fupifupi na hazina depth. Ni kana kwamba tumekuwa na attention span ndogo sana na tumezoea jumbe za Whatsapp na chochote kile kirefu sie husema "too long hebu summarize".

Sijui kama ni uvivu wa kusoma au nini. Au ni tatizo la elimu inayotokana na kutumia lugha ya kimombo kama medium of instruction. Ndio, kuna wakenya ambao huleta mada kama haya, lakini mara nyingi utapata ni zile fupi-fupi tu; au, itakuwa ni article ya gazeti ambayo ameleta kuripoti. Ni nadra sana upate mkenya ameleta mada ya zaidi ya maneno 500 ambayo ni analysis. Lakini kule jukwa la siasa, utapata mtu amechukua muda wake kuleta mada ndefu ambayo ni analysis tupu, na hata hana haya kuweka jina lake hapo. Naamini hili ni jambo la kujifunza kweli.
Kweli mjifunze toka kwa was Tz wako vizuri.
 
Mkuu, if we have to write the whole story in depth, then what would be the reason of studying summary writing in school? Alf you can't compare English with Swahili.
 
Watanzania hata kwenye kuongea huwa na maneno mengi nafikiri ni hulka yao. Kuna polisi Mkenya alikua anasema akimkamata Mtanzania Itabidi asimpe fursa ya kuongea maana ataongea kama mashini.

Japo pia kuna wale huwa napenda analysis zao kule kwa hayo majukwa mengine, tatizo Watanzania wengi wana uzembe wa kusoma, utakuta mtu ameandika taarifa ndefu yenye analysis muhimu lakini jamaa wanachangia kwa maneno machache yaliyojaa kejeli.

Waandishi wengi walitamaushwa na ni wachache waliosalia wanaoandika vizuri hivyo. Ipo wakat JF ilikua ya great thinkers, siku hizi imevamiwa na madogo wavaa milegezo wasiokua na heshima.

Wewe kweli unaijua Jamii Forum na evolution yake. In short ilivamiwa na wanapropaganda waliowekwa na kulipwa na wanasiasa. Wakadominate na upuuzi wao, wale great thinkers ikabidi wakae pembeni. Ndiyo maana hadi sasa hivi hata kama mtu anaandika maneno meengi ukichuja ni pointi za mistari I au 2 au 3. Bahati mbaya sana tuna vijana wetu ambao labda elimu waliopata haikuwa sahihi, wanashabikia kila lililotamkwa na viongozi wao hata kama la kijinga!

They don't have independent and critical mind. Ndiyo sababu sasa hivi comments nyingi ni za matusi na siyo hoja! We chunguza tu.

Na haina shaka kwamba kuna upande wa chama fulani wanashabikia huu ujinga!
 
Mkuu, if we have to write the whole story in depth, then what would be the reason of studying summary writing in school? Alf you can't compare English with Swahili.

What do you mean you can't compare English with Swahili? Kuna mambo ambayo huwezi ukafupisha na hii tabia ya kutosoma ndio humfanya mwafrika abaki nyuma. Yaani ukiona kitabu ushachoka unataka kifupishwe. Kwa hivyo inabidi mtu a dumb-down na akupe chakula kidogo kidogo kama mtoto mdogo. Hili ni tatizo la kukaa kwenye simu sana.
 
September 14, 2017
Nairobi, Kenya

Misemo na nukuu za ''great thinkers'' ndani ya mtandao wa JamiiForums, rasmi yaingia Bunge la Kenya

Mbunge Mohammed Ali (Eneo Bunge Nyali) atoa muhadhara kwa Kiswahili bungeni wenye nakshi nakshi za ki-Jamiiforums
 
bora yenu nyie mnajulikana kwenye ramani ya dunia mnazalisha tanzanite na maindi sisi dunia kutujua ni mpk tutafute kiki kwa makampuni makubwa ya duniani
 
Watanzania hata kwenye kuongea huwa na maneno mengi nafikiri ni hulka yao. Kuna polisi Mkenya alikua anasema akimkamata Mtanzania Itabidi asimpe fursa ya kuongea maana ataongea kama mashini.

Japo pia kuna wale huwa napenda analysis zao kule kwa hayo majukwa mengine, tatizo Watanzania wengi wana uzembe wa kusoma, utakuta mtu ameandika taarifa ndefu yenye analysis muhimu lakini jamaa wanachangia kwa maneno machache yaliyojaa kejeli.

Waandishi wengi walitamaushwa na ni wachache waliosalia wanaoandika vizuri hivyo. Ipo wakat JF ilikua ya great thinkers, siku hizi imevamiwa na madogo wavaa milegezo wasiokua na heshima.

Well said MK254; Kwakweli kejeli ni nyingi na zingine ni zina maudhi sana na kukatisha tamaa, hongera kwa kuliona hilo. Ingawa pia kuna mada nilishasoma ambazo wachangiaji Wakenya pia wako na kejeli sana inaonekana kuna milegezo mingi huko pia (Binafsi huwa nawachukulia Wakenya kama watani wa jadi - Show down)
 
September 14, 2017
Nairobi, Kenya

Misemo na nukuu za ''great thinkers'' ndani ya mtandao wa JamiiForums, rasmi yaingia Bunge la Kenya

Mbunge Mohammed Ali (Eneo Bunge Nyali) atoa muhadhara kwa Kiswahili bungeni wenye nakshi nakshi za ki-Jamiiforums


Source: Kenya News Alert TV

Anaitwa Moha Jicho Pevu, Jicho la Simba! Nina furaha kiswahili kitawakilishwa vyema kwenye vikao vya bunge hili. Huo unge'ng'e wao haunaga ladha ya Royco Mchuzimix!
 
bora yenu nyie mnajulikana kwenye ramani ya dunia mnazalisha tanzanite na maindi sisi dunia kutujua ni mpk tutafute kiki kwa makampuni makubwa ya duniani

Watu kama nyie ndio mlioleta uchafuzi humu, hamna hoja zozote zaidi ya kuleta utoto mwingi.
 
Binadamu wote hawako sawa, mtandao ni tasnia huru ambayo haibaguwi uwezo wa mtu yoyote. Ukisema watu hawasomi na wanachagia maneno yenye kejeli, lakini huo ndio Uhuru wa kimtandao. Hata zamani mtandao kama Facebook au YouTube ilikuwa na watu wanaweka mambo yenye mantiki na weledi wa juu. Lakini kwasababu siku hizi mawasilino yamekuwa rahisi kila mtu anaweza kujiachia anavyotaka mtandaoni. Unaweza kwenda YouTube na ukakuta live stream mtu kaweka paka mbele ya kamera masaa 24.
Hahaha kaweka paka Mbele ya kamera!!
huyo kiboko
 
bora yenu nyie mnajulikana kwenye ramani ya dunia mnazalisha tanzanite na maindi sisi dunia kutujua ni mpk tutafute kiki kwa makampuni makubwa ya duniani
Wewe tu ndo hujulikani duniani, na kiuhalisia hutakiwi kujulikana!

Lakini tz kama nchi inajulikana na ina heshima zake duniani!
 
Back
Top Bottom