Cha kujifunza kutoka kwa wachangiaji wa Tanzania

Cha kujifunza kutoka kwa wachangiaji wa Tanzania

Watanzania hata kwenye kuongea huwa na maneno mengi nafikiri ni hulka yao. Kuna polisi Mkenya alikua anasema akimkamata Mtanzania Itabidi asimpe fursa ya kuongea maana ataongea kama mashini.

Japo pia kuna wale huwa napenda analysis zao kule kwa hayo majukwa mengine, tatizo Watanzania wengi wana uzembe wa kusoma, utakuta mtu ameandika taarifa ndefu yenye analysis muhimu lakini jamaa wanachangia kwa maneno machache yaliyojaa kejeli.

Waandishi wengi walitamaushwa na ni wachache waliosalia wanaoandika vizuri hivyo. Ipo wakat JF ilikua ya great thinkers, siku hizi imevamiwa na madogo wavaa milegezo wasiokua na heshima.
We jamaa unaongea sana points ila tatizo lako mtu akikujaza upepo kidogo unahama kwenye points
Napendaga unavyochambua tena kwa lugha ya kiswahili ila ukijazwa kidogo upepo unaanza kuongea ujinga ila upo vzr nakufatilia
 
We jamaa unaongea sana points ila tatizo lako mtu akikujaza upepo kidogo unahama kwenye points
Napendaga unavyochambua tena kwa lugha ya kiswahili ila ukijazwa kidogo upepo unaanza kuongea ujinga ila upo vzr nakufatilia

Hivi humu JF tunapaswa kuandika tufurahishane au kila mtu aandike hisia zake au kwa mtazamo wake.....halafu hilo jina lako na avatar yako...jamaa una ujasiri.
 
Hivi humu JF tunapaswa kuandika tufurahishane au kila mtu aandike hisia zake au kwa mtazamo wake.....halafu hilo jina lako na avatar yako...jamaa una ujasiri.
Mm siku zote huwa nakufatilia sichoki kujifunza kutoka kwako
 
Back
Top Bottom