Cha kujifunza kutoka kwa wachangiaji wa Tanzania

We jamaa unaongea sana points ila tatizo lako mtu akikujaza upepo kidogo unahama kwenye points
Napendaga unavyochambua tena kwa lugha ya kiswahili ila ukijazwa kidogo upepo unaanza kuongea ujinga ila upo vzr nakufatilia
 
We jamaa unaongea sana points ila tatizo lako mtu akikujaza upepo kidogo unahama kwenye points
Napendaga unavyochambua tena kwa lugha ya kiswahili ila ukijazwa kidogo upepo unaanza kuongea ujinga ila upo vzr nakufatilia

Hivi humu JF tunapaswa kuandika tufurahishane au kila mtu aandike hisia zake au kwa mtazamo wake.....halafu hilo jina lako na avatar yako...jamaa una ujasiri.
 
Hivi humu JF tunapaswa kuandika tufurahishane au kila mtu aandike hisia zake au kwa mtazamo wake.....halafu hilo jina lako na avatar yako...jamaa una ujasiri.
Mm siku zote huwa nakufatilia sichoki kujifunza kutoka kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…