peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
makubwaHaya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Saa100 tu.
Haya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Saa100 tu.
Sana Tunaelekea Kufika SafariTunaelekea pazuri mnooo kama taifa. Asante.
Chadema wekeni mgombea Mbarali 😄😄🔥Bora Ametubu Haraka Kabla Mwisho Wake Haujawa Mbaya
Huo ndio ukweli wa mambo yalivyoendeshwa Bungeni. Muswada unawasilishwa na wabunge kuambiwa uamuzi utafanyika ndani ya saa 24. Halafu tunakuja kuambiwa "Bunge limeidhinisha". Kulikuwa na uharaka gani?
Tunapata ibada na tunapata bia baadae. Kwanini hamtumii Nguruwe?Mbona kuna chupa yenye bia ndani yake, kanisa linahusika na bia?
😀Nakala kwa : Lucas Mbwa wa Shamba.
Huyu ni mmoja tu aliyethubutu kusema ukweli anaoufahamu. Bila shaka kuna wengi wenye mawazo kama yake ambao wako kimya kutokana na hofu tu. Kupitisha kwa Bunge kulikofanyika ni kwa mazingira tu.
Msishangae huyu Mbunge akafukuzwa huko CCM.
Kwani lugha rasmi ya Bunge letu ni ipi?Bora kukaa kimya, anajiabisha zaidi, unagombeaje ubunge kama lugha rasmi hujui?