Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

We mbunge Bora ungepiga kimya unajiaibisha Sana,yaani unakaa kwenye chombo Cha maamuzi halafu kumbe ni maimuna! Looooooh! Na kesi tunazoshindwa huko nje na kulipa mapesa ya faini kumbe mfumo ndiyo huu huu.kwa hivyo kumbe akina mwabukusi wako sahihi!
Moyo umemsuta

Ajachelewa na yupo sahihi ila chamani atakuwa hayupo salama tumuombee
 
Untitled-3.jpg

Kwanini hii mikataba mibovu ya kumaliza Wanyamapori wetu haijadiliwi na TEC?
 
Back
Top Bottom