Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Freshest sign yet that the relentless public uproar against the Dubai port deal is weighing down on President Samia Suluhu's puppeteering parliamentarians who are staring down the barrel of the upcoming ballot box.
 
Kuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.
 
Haya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Saa100 tu.

View attachment 2722630
Hahahhaha.. Supika wake huyu hapa
Screenshot_20230820-111957~4.jpg
 
Back
Top Bottom