Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema tusichanganye Dini na siasa.Kuna jambo anataka kulituma kwenye vyombo vya habari.
Wameanza kukanyagana mdogomdogo, vipi Jah People na Kibajaji wanasemaje huko walikosali leoHaya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Saa100 tu.
Msema kweli mpenzi wa Mungu wa mbinguni 😄😄We jamaa upo kama kinyonga! Hujulikani rangi yako halisi.
Kwa bahati mbaya maelezo haya yanawahusu wabunge wengi pamoja na maprofesa wetu. Tunawalipa hela nyingi kwa kazi ya kuchapa usingizi bungeni. Wabunge pekee waliojitambua ni Luhaga Moipina na Halima Mdee.
Namsikiliza piaKikwete anafungua kanisa la Wasabato huko Mara niko hapa You Tube namsikiliza
Hao DP World hapo Dubai wanagonga Kitimoto balaaWakatoliki hatunaga sheria za kijinga na za kizamani(primitive), kumwagiwa moyo ni ruksa, kila mtu kadiri ya uwezo wake
HahahaNamsikiliza pia
Jamaa Leo anajifanya anaongea Kwa busara
Kwani alipiga kura ya NDIYO kwa kitu asichokifahamu? Huyu naye mpuuzi tu asituchanganye.
Hahahhaha.. Supika wake huyu hapa
Mo vayolensi to comeTunaelekea pazuri mnooo kama taifa. Asante.
Ni kinywaji kama vingineMbona kuna chupa yenye bia ndani yake, kanisa linahusika na bia?
Lucas kapoaaaaaaa hivi keshasema chochote kweli baada ya waraka?Nakala kwa : Lucas Mbwa wa Shamba.
Ndo maana JF itaendelea kuwa sehemu muhimu kwa ajili ya watanzania wanotaka kuelimika.
Je alikataa kuupitisha mpka aeleweshe nin kimeandikwa,kama sio basi huyu mbunge ni jibu kuliko upinzani
Kiukweli tulia hapa aliwaburuza wabunge na alichagua kabisa watu wa kuchangia ,wale watu wa maana waliwekwa pembeni