Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeonaeeeeeee?Gwajima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeeeee?Gwajima
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko!Mambo yanazidi Kuwa Mambo, Jana haikua siku nzuri sana Kwa Mbunge wa Bunda baada ya Waraka kusomwa na Yeye kupewa nafasi asalimie...... Ilikua kama vile kukutana na Mkwe ukiwa uchi! Anyway tuyaache hayo.
Mbunge anasema hakuweza kusoma mkataba kwahio Wala asilaumiwe Kwa lililotokea! Aaghh guess who is next?
View attachment 2723445
Kwamba hakuepo kwenye msafara wa Dubai? HahahaahaHuenda hakupewa mgao wa DP World.
Ni furaha ya watanzania kuwaona hata ccm hawakubalini na uhuni unaofanywa na serikali yaoNinaungana na TEC 100% kwa Tamko!
Sasa hapa ni wangapi wa aina yake ? Huyu kawa mkweli na kawakilisha kundi kubwa. Katema ndoanaMambo yanazidi Kuwa Mambo, Jana haikua siku nzuri sana Kwa Mbunge wa Bunda baada ya Waraka kusomwa na Yeye kupewa nafasi asalimie...... Ilikua kama vile kukutana na Mkwe ukiwa uchi! Anyway tuyaache hayo.
Mbunge anasema hakuweza kusoma mkataba kwahio Wala asilaumiwe Kwa lililotokea! Aaghh guess who is next?
View attachment 2723445
Mbali na ELIMU, dhamira pia ni ndogo!!Hivi ndugu yangu naomba unisaide hapa ni nani mtu wa kuusoma mkataba wakisheria akauelewa na kutoa mchango wake kwa maendeleo ya nchi yetu.
1.Kibajaji
2.Jah people.
3. Msukuma
4.
5.
6.
Ameona kichaka kinateketea Kwa Moto....Sasa hapa ni wangapi wa aina yake ? Huyu kawa mkweli na kawakilisha kundi kubwa. Katema ndoana
Wacha kwanza maji yaanze kuchemka ndiyo vyura watannza kuruka kutoka kwenye chungu kama kina Tibaijuka wakati wa EscrowHuenda hakupewa mgao wa DP World.
Ndo ujue kundi dogo sana ndani ya CCM ndo wanakula Nchi, wengine ni wasindikizaji tu, wanausubiri kurushiwa mifupa wahangaike nayo.Ni furaha ya watanzania kuwaona hata ccm hawakubalini na uhuni unaofanywa na serikali yao
Nakubaliana na mchango wako ila pia kwenye suala la wabunge linategemea sana na chama gani mbunge anatoka.Mbali na ELIMU, dhamira pia ni ndogo!!
Musoma mjini waliwahi kumchafua Mbunge wao Jina aliitwa Nyerere kupitia CDM, Elimu yake ilikuwa kidato Cha nne pekee, lakini mchango wake ulionekana.
The late Wangwe,Prof Jay, Sugu, Wana average educatn bt Wana mchango,
Tukifanikiwa kuondoa RUSHWA nchini, yeyote mwenye dhamira na Nia ya dhati msikivu, mwenye kupokea ushauri, anaweza kuwa kiongozi Bora .
Hao wa kurushiwa mifupa ndiyo waliojazana pale lumumba.Ndo ujue kundi dogo sana ndani ya CCM ndo wanakula Nchi, wengine ni wasindikizaji tu, wanausubiri kurushiwa mifupa wahangaike nayo.
TEC na Ukatoliki Kwanza CCM baadae.Ni furaha ya watanzania kuwaona hata ccm hawakubalini na uhuni unaofanywa na serikali yao
Hawa hapaNinaungana na TEC 100% kwa Tamko!
True100%Nakubaliana na mchango wako ila pia kwenye suala la wabunge linategemea sana na chama gani mbunge anatoka.
Mbunge hata kama ni mweupe kichwani lkn anaweza kuwa na mawazo ya kimaendeleo na kizalendo lkn sasa chama husika kikamfunga mdomo.
Tunaongea kwa ref,kumbuka yule mbunge Ole Medei aliwahi kusema kuwa kwenye nyakati za kupitisha mambo magumu ndani ya bunge wabunge wa ccm huwa wanaambiwa nini cha kuongea bungeni.
Hapo hakuna kanjanja, kiwango Cha chini ni Batchelor degree!!!
Walidanganywa?Mambo yanazidi Kuwa Mambo, Jana haikua siku nzuri sana Kwa Mbunge wa Bunda baada ya Waraka kusomwa na Yeye kupewa nafasi asalimie...... Ilikua kama vile kukutana na Mkwe ukiwa uchi! Anyway tuyaache hayo.
Mbunge anasema hakuweza kusoma mkataba kwahio Wala asilaumiwe Kwa lililotokea! Aaghh guess who is next?
View attachment 2723445
Madaktari hawa hapaWalidanganywa?
Walidanganyana?
Wameturoga?
Wanatudanganya?
Huenda kakumbushwa issue yake Moja TU hahahaha kaona isiwe kesi! Ndio tatizo la CCM wote ni wachafuHivi yule mbunge kijana mwenye hoja na aliekuwa anainanga serikali juu ya huu mkataba walishampiga biti au? Maana sikuhizi kimya kimezidi sana simsikii akimwaga mawe.
Where is Luhaga Mpina?