Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Bado tuna imani naye. Tunasubiri tiketi za kwenda Birmingham na tunaamini treni yetu iko njiani inakujaUmeonaeeeeeee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tuna imani naye. Tunasubiri tiketi za kwenda Birmingham na tunaamini treni yetu iko njiani inakujaUmeonaeeeeeee?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 CCM ni chama cha maajabu sana.Huenda kakumbushwa issue yake Moja TU hahahaha kaona isiwe kesi! Ndio tatizo la CCM wote ni wachafu
Yule aliingizwa cha kusimama badala ya cha kuchuchumaaBado tuna imani naye. Tunasubiri tiketi za kwenda Birmingham na tunaamini treni yetu iko njiani inakuja
Umeonaeeeeeee?[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] CCM ni chama cha maajabu sana.
Tatizo la ccm kama kawaida wanajiona wao wana akili nyingi kuliko watanzania wote.True100%
Tunatakiwa twende beyond hapo, suala kama Lina maslah mapana ya nchi, Uzalendo na Taifa kwanza.
Gwajima angesikiza msimamo wa chama chake, watumishi wa Sirikali wangepigwa Chanjo Kwa lazima .
Mgombea binafsi pia ni muhimu akaweko Ili wazalendo wasizamishwe.
Binafsi nashukuru kwa kuwa na moyo huo mkuu maana wanasema kuwa mwanzo wa hesabu ni moja.TEC na Ukatoliki Kwanza CCM baadae.
Hamna hiyo kitu,uliona mwendapole akirudisha vieitii.?Watayarudisha km walivyoyachukua hakuna namna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu mzima, ajue kusoma na kuandikaNdiyo maana wameweka sheria za kijinga kuhusu vigezo vya ili mtu agombee ubunge.
Wanasema ili mradi awe mtu mzima na ajue kusoma na kuandika
Ndio, Bahasha!Hivi,bungeni huwa kuna mitungi ya mvinyo uleweshao?[emoji848]
Alishatekeleza wajibu wake, binafsi sina deni nayeHivi yule mbunge kijana mwenye hoja na aliekuwa anainanga serikali juu ya huu mkataba walishampiga biti au? Maana sikuhizi kimya kimezidi sana simsikii akimwaga mawe.
Where is Luhaga Mpina?
Mbona kulikuwa na Version ya kiswahili?Haya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Samia tu.
====
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe. Robert Chacha Maboto, amesema hakuuelewa Mkataba wa PD WORLD alipokuwa bungeni.
Mpina😆😆Hivi yule mbunge kijana mwenye hoja na aliekuwa anainanga serikali juu ya huu mkataba walishampiga biti au? Maana sikuhizi kimya kimezidi sana simsikii akimwaga mawe.
Where is Luhaga Mpina?
100%Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko!