Hamna kitu kibaya Kama kutofautiana na jeshi la nchi.
Hakuna RAISI aliewah tofautiana na jeshi akabaki salama.
Kwa ilo namsifu Sana JPM,
Idara zote alikaba, madaraja, mishahara, posho n.k
Ila kule JESHINI Mambo yalikua yanakwenda Kama kawaida
Ndo maana ata wananchi mkilalamika Hakuna la kumfanya maana JESHINI kapaweka vizuri.
Nnachokiona kosa kubwa alifanya Ni kumtimua mkuu wa majeshi kwa kuwatetea wanajeshi wenzie.
Mkuu wa majeshi nimtu Muhim Sana, ana wanajeshi lukuki wanaomtii yeye kuliko ata RAISI mwenyw.
Unapomtimua kihuni,
Unasababisha wanajeshi waanze kufkiria uhasi.
Na ili ndo limemcost yeye pamoja na uyu mwanae alieapishwa na kuuwawa ndani ya SAA 24.
RAISI ALIKUA NA KIBURI CHA KIPUMBAVU.