Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kama kwa miaka 59 ya Uhuru mfumo uliopo haujaleta maendeleo ya kweli hakuna namna mfumo huu ukaleta maendeleo Tanzania!
Sera ya majimbo ndo mzizi wa maendeleo ya kweli ya watanzania. Nyie mnalishwa ujinga na CCM mnaukubali wakati CCM wanatumia mwanya wa ku control hela zote za nchi kufanya mambo yao.
Leo hii sehemu zina migodi ya dhahabu ila zina umasikini wa kutumwa hata maji ya kunywa wanakunywa ya matope.
Siri ya maendeleo ya kweli Tanzania ipo kwenye mfumo wa majimbo. Endeleeni kuwasikiliza CCM alafu hela zenu ziendelee kutumika kwenye makampeni ya CCM na kujenga viwanja vya ndege vijijini kwa maraisi
Sera ya majimbo ndo mzizi wa maendeleo ya kweli ya watanzania. Nyie mnalishwa ujinga na CCM mnaukubali wakati CCM wanatumia mwanya wa ku control hela zote za nchi kufanya mambo yao.
Leo hii sehemu zina migodi ya dhahabu ila zina umasikini wa kutumwa hata maji ya kunywa wanakunywa ya matope.
Siri ya maendeleo ya kweli Tanzania ipo kwenye mfumo wa majimbo. Endeleeni kuwasikiliza CCM alafu hela zenu ziendelee kutumika kwenye makampeni ya CCM na kujenga viwanja vya ndege vijijini kwa maraisi