Wafanye mikutano ya ndani hakuna tatizo au mbunge afanye jimboni kwake, hatutaki wazururaji kwenye majimbo ya wengine, kama hilo hawataelewa basi wapigwe adi wachakaeAcheni kujichetua akili na kujifanya hamjui kitu.
Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo?
Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu?
Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu na kushindwa kufanya shughulinzao.
Acheni watanzania wafanye shughuli za kiuchumi. Wakati wa kampeni ukifika mtanadi sera zenu.
Kama wataleta ubishi dawa si inajulikana, kipigo tuuuChadema ni wapayukaji wasio na muelekeo....
Acheni kujichetua akili na kujifanya hamjui kitu.
Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo?
Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu?
Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu na kushindwa kufanya shughulinzao.
Acheni watanzania wafanye shughuli za kiuchumi. Wakati wa kampeni ukifika mtanadi sera zenu.
Wewe ni mjinga wa katiba na umejaa giza la CCM.Acheni kujichetua akili na kujifanya hamjui kitu.
Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo?
Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu?
Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu na kushindwa kufanya shughulinzao.
Acheni watanzania wafanye shughuli za kiuchumi. Wakati wa kampeni ukifika mtanadi sera zenu.
Akijibu nistueKwani katiba inasemaje kuhusu mikutano ya kisiasa?