CHADEMA acheni mijadala ya kurejeshwa kwa Covid 19, Msigwa au Slaa. Hao sio wenzenu, ni wasaliti, hawahitajiki popote, wanasaka fursa tu.

CHADEMA acheni mijadala ya kurejeshwa kwa Covid 19, Msigwa au Slaa. Hao sio wenzenu, ni wasaliti, hawahitajiki popote, wanasaka fursa tu.

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Nimekuwa nikishangaa mnoo mara kwa mara kusikia mijadala ya kujadili namna ya kuwarejesha au kuwakataa wabunge wa Covid 19, Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa. Hizi hoja zilishika kasi kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti ndani Chadema na zinaendelezwa hadi sasa huku upande wa wapambe wa Mbowe ukipiga chapeo zaidi kwa Covid 19 warejeshwe na upande wa wapambe wa Lissu ukitaka Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa warejeshwe. Kimantiki ni ujinga mkubwa kwa Chadema kuwajadili hao watu sasa, ni kupoteza muda. Sababu chache za kimsingi ni hizi.

1. Hao wote ni kundi lililoamua kuunga mkono CCM wakati wa mapambano, na huko wakalipwa na kupewa fursa kede kede huku likipambana kuididimiza Chadema. Hawa ni wasaliti.

2. Hakuna hata mmoja ya hao aliyekiri kuwa alikosea kuunga mkono CCM katikati ya mapambano ili sasa Chadema imeone ni mtu huru. Bado ni wasaliti.

3. Wote hao wamepoteza umaarufu wa kisiasa na sio mtaji wa kutumainiwa na watanzania tena. Wanaitaka Chadema ili iwabebe, wanasaka fursa.

4. Chadema kwa sasa ina watu wengi na bora zaidi wa kufanya siasa kuliko hao wote. Kutaka kuwakumbatia tena hao ni kuirudisha nyuma mnoo chadema na hapo hapo ni kuwakatisha tamaa wapambanaji wa dhati wa Chadema wa muda wote.

5. Utaratibu wa kujiunga na Chadema uko wazi kikatiba kwa watu wote na wala hauhitaji mjadala wa kubebana au kuchukiana. Kama hao wote wanadhani wana haki ya kurudi Chadema wafate taratibu na taratibu zitajibu zenyewe. Huu mchezo wa kutaka kurudi nyuma kupitia nyuma ya mlango umejaa uovu, ujanja ujanja na hila.
 
Kuna wakati upatanisho ni bora zaidi
 
Kila mtu hufanya makosa hata viongozi wetu, Mbowe na Lissu waliwahi kumpokea Lowassa na kupunguza imani kwa Watanzania, Kwanini hawa wasisamehewe?

Nani msafi zaidi?
Chama cha siasa sio kanisa wala msikiti.
Wote wakitubu wasamehewe hata wewe sio msafi.
 
CDM inaenda kuwa NCCR come 2026...

Same attitude same face

Usaliti huwa haujadiliwi hadharani, FAM alikaa nalo kwa muda akijua namna linaweza angamiza chama...

Ila sasa wanasema mambo ni wazi wazi 😂

Tuombe uzima...
 
Kila mtu hufanya makosa hata viongozi wetu, Mbowe na Lissu waliwahi kumpokea Lowassa na kupunguza imani kwa Watanzania, Kwanini hawa wasisamehewe?

Nani msafi zaidi?
Chama cha siasa sio kanisa wala msikiti.
Wote wakitubu wasamehewe hata wewe sio msafi.
Wametubu lini, yaani wasubiri mafao ya ubunge kwanza?
 
Kila mtu hufanya makosa hata viongozi wetu, Mbowe na Lissu waliwahi kumpokea Lowassa na kupunguza imani kwa Watanzania, Kwanini hawa wasisamehewe?

Nani msafi zaidi?
Chama cha siasa sio kanisa wala msikiti.
Wote wakitubu wasamehewe hata wewe sio msafi.
Umeelewa mada?
Covid 19, Dr. Slaa, Msigwa unasema wao kwenda CCM wamekosea, nani alikwambia hayo?
Wapi walishawahi kusema hivyo?
Unawasamehe vipi watu ambao wanaona kusaliti Chadema ni sahihi?
Kwanini Chadema inapoteza muda kuwajadili kurejea kwao Chadema?

Lowassa alihamia Chadema akitokea CCM. Huyo unamuwakaje kundi moja na hao wasaliti?
 
Nimekuwa nikishangaa mnoo mara kwa mara kusikia mijadala ya kujadili namna ya kuwarejesha au kuwakataa wabunge wa Covid 19, Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa. Hizi hoja zilishika kasi kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti ndani Chadema na zinaendelezwa hadi sasa huku upande wa wapambe wa Mbowe ukipiga chapeo zaidi kwa Covid 19 warejeshwe na upande wa wapambe wa Lissu ukitaka Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa warejeshwe. Kimantiki ni ujinga mkubwa kwa Chadema kuwajadili hao watu sasa, ni kupoteza muda. Sababu chache za kimsingi ni hizi.

1. Hao wote ni kundi lililoamua kuunga mkono CCM wakati wa mapambano, na huko wakalipwa na kupewa fursa kede kede huku likipambana kuididimiza Chadema. Hawa ni wasaliti.

2. Hakuna hata mmoja ya hao aliyekiri kuwa alikosea kuunga mkono CCM katikati ya mapambano ili sasa Chadema imeone ni mtu huru. Bado ni wasaliti.

3. Wote hao wamepoteza umaarufu wa kisiasa na sio mtaji wa kutumainiwa na watanzania tena. Wanaitaka Chadema ili iwabebe, wanasaka fursa.

4. Chadema kwa sasa ina watu wengi na bora zaidi wa kufanya siasa kuliko hao wote. Kutaka kuwakumbatia tena hao ni kuirudisha nyuma mnoo chadema na hapo hapo ni kuwakatisha tamaa wapambanaji wa dhati wa Chadema wa muda wote.

5. Utaratibu wa kujiunga na Chadema uko wazi kikatiba kwa watu wote na wala hauhitaji mjadala wa kubebana au kuchukiana. Kama hao wote wanadhani wana haki ya kurudi Chadema wafate taratibu na taratibu zitajibu zenyewe. Huu mchezo wa kutaka kurudi nyuma kupitia nyuma ya mlango umejaa uovu, ujanja ujanja na hila.
Hakuna mwanasiasa asiyesaka fulsa mkuu.
 
Kila mtu hufanya makosa hata viongozi wetu, Mbowe na Lissu waliwahi kumpokea Lowassa na kupunguza imani kwa Watanzania, Kwanini hawa wasisamehewe?

Nani msafi zaidi?
Chama cha siasa sio kanisa wala msikiti.
Wote wakitubu wasamehewe hata wewe sio msafi.
Actualy lissu ali repent alifanya kosa kushiriki hilo. Mbowe hajawahi repent that.
 
Actualy lissu ali repent alifanya kosa kushiriki hilo. Mbowe hajawahi repent that.
1. Mbowe kwa Lowassa aliwakosea Chadema.
Nimesikiliza Slaa na Lissu inaonyesha kulikuwa na maslahi kwa Mbowe.

2. Covid19 Mbowe hajawahi kuwa mkali pia inatia shaka kama hana mkono pale...ni hofu yanvu tu sio lazima niwe sahihi
 
Nimekuwa nikishangaa mnoo mara kwa mara kusikia mijadala ya kujadili namna ya kuwarejesha au kuwakataa wabunge wa Covid 19, Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa. Hizi hoja zilishika kasi kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti ndani Chadema na zinaendelezwa hadi sasa huku upande wa wapambe wa Mbowe ukipiga chapeo zaidi kwa Covid 19 warejeshwe na upande wa wapambe wa Lissu ukitaka Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa warejeshwe. Kimantiki ni ujinga mkubwa kwa Chadema kuwajadili hao watu sasa, ni kupoteza muda. Sababu chache za kimsingi ni hizi.

1. Hao wote ni kundi lililoamua kuunga mkono CCM wakati wa mapambano, na huko wakalipwa na kupewa fursa kede kede huku likipambana kuididimiza Chadema. Hawa ni wasaliti.

2. Hakuna hata mmoja ya hao aliyekiri kuwa alikosea kuunga mkono CCM katikati ya mapambano ili sasa Chadema imeone ni mtu huru. Bado ni wasaliti.

3. Wote hao wamepoteza umaarufu wa kisiasa na sio mtaji wa kutumainiwa na watanzania tena. Wanaitaka Chadema ili iwabebe, wanasaka fursa.

4. Chadema kwa sasa ina watu wengi na bora zaidi wa kufanya siasa kuliko hao wote. Kutaka kuwakumbatia tena hao ni kuirudisha nyuma mnoo chadema na hapo hapo ni kuwakatisha tamaa wapambanaji wa dhati wa Chadema wa muda wote.

5. Utaratibu wa kujiunga na Chadema uko wazi kikatiba kwa watu wote na wala hauhitaji mjadala wa kubebana au kuchukiana. Kama hao wote wanadhani wana haki ya kurudi Chadema wafate taratibu na taratibu zitajibu zenyewe. Huu mchezo wa kutaka kurudi nyuma kupitia nyuma ya mlango umejaa uovu, ujanja ujanja na hila.
Wasaliti wabaya zaidi ya wote wapo ndani ya chadema...mfano mbowe je unasemaje kuhusu wasaliti waliopo chadema nao wabakizwe chadema?
 
Dr Slaa atarudishwa. Dr hakuisaliti CHADEMA. Chama ndio kilimsaliti kwa kumleta Lowasa.
Acha blah blah ndugu.
Slaa aliisaliti Chadema kwa 100%. Katika hili kundi la wasaliti yeye ndio kinara.

Kuweka kumbukumbu sawa (huu ni ukweli uliosemwa na Dr. Slaa mwenyewe, Mbowe na Lissu),
Lowassa aliletwa na Dr. Slaa Chadema kwa sharti kwamba aje tu Chadema lakini asipewe nafasi ya kugombea urais ili Slaa awe mgombea urais, Lowassa alipotua Chadema na kupewa kugombea urais, Slaa akasusa na kisha akahamia CCM kinyemela na huko akapewa kazi maalum ya kuisambaratisha Chadema na akalipwa vizuri kwa kazi hiyo.
 
1. Mbowe kwa Lowassa aliwakosea Chadema.
Nimesikiliza Slaa na Lissu inaonyesha kulikuwa na maslahi kwa Mbowe.

2. Covid19 Mbowe hajawahi kuwa mkali pia inatia shaka kama hana mkono pale...ni hofu yanvu tu sio lazima niwe sahihi
Hauko sahihi
 
Nimekuwa nikishangaa mnoo mara kwa mara kusikia mijadala ya kujadili namna ya kuwarejesha au kuwakataa wabunge wa Covid 19, Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa. Hizi hoja zilishika kasi kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti ndani Chadema na zinaendelezwa hadi sasa huku upande wa wapambe wa Mbowe ukipiga chapeo zaidi kwa Covid 19 warejeshwe na upande wa wapambe wa Lissu ukitaka Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa warejeshwe. Kimantiki ni ujinga mkubwa kwa Chadema kuwajadili hao watu sasa, ni kupoteza muda. Sababu chache za kimsingi ni hizi.

1. Hao wote ni kundi lililoamua kuunga mkono CCM wakati wa mapambano, na huko wakalipwa na kupewa fursa kede kede huku likipambana kuididimiza Chadema. Hawa ni wasaliti.

2. Hakuna hata mmoja ya hao aliyekiri kuwa alikosea kuunga mkono CCM katikati ya mapambano ili sasa Chadema imeone ni mtu huru. Bado ni wasaliti.

3. Wote hao wamepoteza umaarufu wa kisiasa na sio mtaji wa kutumainiwa na watanzania tena. Wanaitaka Chadema ili iwabebe, wanasaka fursa.

4. Chadema kwa sasa ina watu wengi na bora zaidi wa kufanya siasa kuliko hao wote. Kutaka kuwakumbatia tena hao ni kuirudisha nyuma mnoo chadema na hapo hapo ni kuwakatisha tamaa wapambanaji wa dhati wa Chadema wa muda wote.

5. Utaratibu wa kujiunga na Chadema uko wazi kikatiba kwa watu wote na wala hauhitaji mjadala wa kubebana au kuchukiana. Kama hao wote wanadhani wana haki ya kurudi Chadema wafate taratibu na taratibu zitajibu zenyewe. Huu mchezo wa kutaka kurudi nyuma kupitia nyuma ya mlango umejaa uovu, ujanja ujanja na hila.
Mchugaji Msigwa ,anapenda sana rejea chadema , ila sasa anatokaje huko , ndo maana anajisemesha kwamba hawezi kuondoka huko , maana anajua akidhubutu atasema Yesu ni Bwana, hakufanya hesabu zake vizuri , yupo na stress sana
 
Back
Top Bottom