Migogoro ya kijinga ilimtoa Msigwa na hiki Mbowe atalibeba.Mchugaji Msigwa ,anapenda sana rejea chadema , ila sasa anatokaje huko , ndo maana anajisemesha kwamba hawezi kuondoka huko , maana anajua akidhubutu atasema Yesu ni Bwana, hakufa hesabu zake vizuri , yupo na stress sana
Wakiomba msamahaUpatanisho na watu ambao hawajawahi kuomba msamaha?
Wakiomba msamaha
Mwanaume unatishwaje na mwanaume mwenzio ? Woga tu , vita vinapigwa ukiwa uwanja wa vita. Huko ccm lipi au kipi kimeongezeka kwake ,Migogoro ya kijinga ilimtoa Msigwa na hiki Mbowe atalibeba.
Tumeelezwa wazi Mbowe amemsumbua Msigwa zaidi ya miaka 2
Halima Mdee amekua muhuni ghaflaView attachment 3214549
Hawa ndio watu wa kusamehewa? Waende mbele ya vyombo vya chama wakahojiwe waombe msamaha na vyombo vya chama vitapima na kuchukua hatua
Lissu amesema hakuna msamaha bila kitubioWakiomba msamaha
Nani alimzawadia Ubalozi na kwa kazi ipi??Dr Slaa atarudishwa. Dr hakuisaliti CHADEMA. Chama ndio kilimsaliti kwa kumleta Lowasa.
Kwani nimesemaje mimi?Lissu amesema hakuna msamaha bila kitubio
Ulitaka afe kwa njaa?Nani alimzawadia Ubalozi na kwa kazi ipi??
Hatutakubali Mamluki kurudi Chadema
Wanaweza kurejea lakini wasipewe nafasi ya kugombea nafasi yoyote. Wao wawe wanabeba briefcase za viongozi tu.Kuna wakati upatanisho ni bora zaidi
Chadema bado ipo sana tu, in fact 2026 utakua mwaka wa chadema kufurahia success za 2025 elections.CDM inaenda kuwa NCCR come 2026...
Same attitude same face
Usaliti huwa haujadiliwi hadharani, FAM alikaa nalo kwa muda akijua namna linaweza angamiza chama...
Ila sasa wanasema mambo ni wazi wazi 😂
Tuombe uzima...
Mimi ndiye Mwanajf aliyetukanwa zaidi tena Mfululizo kwa zaidi ya miaka 10, pengine kuliko member yeyote.Mkuu unakaribishwa ACT, huko unateseka sana, humu jamvini wenzio wanakutukana tu siku hizi
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm, na team Mbowe.CDM inaenda kuwa NCCR come 2026...
Same attitude same face
Usaliti huwa haujadiliwi hadharani, FAM alikaa nalo kwa muda akijua namna linaweza angamiza chama...
Ila sasa wanasema mambo ni wazi wazi 😂
Tuombe uzima...
Mimi ndiye Mwanajf aliyetukanwa zaidi tena Mfululizo kwa zaidi ya miaka 10, pengine kuliko member yeyote.
Sijawahi kuyahofia matusi, maana Matusi na Uchawi ndio faraja pekee ya Masikini ambao wamejazana hapa jf
Hapa jf namuamini Mello tu, sina rafiki wala mwenzangukuna tofauti kubwa kati ya matusi yanaotoka kwa maadui zako na kwa unaowahisi ni wenzio
Kwahiyo nani msaliti hapo? Hebu soma ulichoandika, na ikaweje mkampa fisadi kugombea ?Acha blah blah ndugu.
Slaa aliisaliti Chadema kwa 100%. Katika hili kundi la wasaliti yeye ndio kinara.
Kuweka kumbukumbu sawa (huu ni ukweli uliosemwa na Dr. Slaa mwenyewe, Mbowe na Lissu),
Lowassa aliletwa na Dr. Slaa Chadema kwa sharti kwamba aje tu Chadema lakini asipewe nafasi ya kugombea urais ili Slaa awe mgombea urais, Lowassa alipotua Chadema na kupewa kugombea urais, Slaa akasusa na kisha akahamia CCM kinyemela na huko akapewa kazi maalum ya kuisambaratisha Chadema na akalipwa vizuri kwa kazi hiyo.