CHADEMA acheni usanii hamna huruma yoyote na Jeshi la Polisi wala Serikali

CHADEMA acheni usanii hamna huruma yoyote na Jeshi la Polisi wala Serikali

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1629910462565.png

Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Nakubatiza Jina la Lucifer
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Tuliza kimpwiriri hicho
 
Man, huu siyo wakati muafaka wa kuleta siasa za majitaka, CDM wamepiga moyo konde kutoa hilo tamko, ukizingatia nini kinaendelea kwa Mkiti wao, get brain, nawe ni member mkongwe tu humu, onesha ukongwe wako by actions
 
Man, huu siyo wakati muafaka wa kuleta siasa za majitaka, CDM wamepiga moyo konde kutoa hilo tamko, ukizingatia nini kinaendelea kwa Mkiti wao, get brain, nawe ni member mkongwe tu humu, onesha ukongwe wako by actions
CHADEMA- mkuu ni usanii- wapige moyo konde kivipi-
 
CHADEMA- mkuu ni usanii- wapige moyo konde kivipi-
Mkuu hili jambo si dogo, sidhani kama kumuhusisha yeyote na hili kwa wakati huu ni sahihi, tuache vyombo husika vifanye kazi yake! Meanwhile, ujinga aliofanya yule mtu sidhani kama mtu credible upinzani anaweza kuwa associated naye
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Wanafanya sarcasm kwenye msiba. Very Disrespectful
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Chadema wanafiki, wacheki bavicha wengi wako vigeregereni
 
Mkuu hili jambo si dogo, sidhani kama kumuhusisha yeyote na hili kwa wakati huu ni sahihi, tuache vyombo husika vifanye kazi yake! Meanwhile, ujinga aliofanya yule mtu sidhani kama mtu credible upinzani anaweza kuwa associated naye
Acheni unafiki na kubalini kwamba nyie ni wasanii na Mungu anawaona
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Una shida mahali wewe! Siyo bure.
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
What goes around comes around. Dunia haikuumbwa na Mungu mviringo kwa bahati mbaya..... CCM wanahangaika kweli.
 
Aise ila sidhani kama yule marehemu wa sasa target yake ilikuwa ni raia wa kawaida.
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA

John Mrema amendika bila kuwa na taarifa sahihi. Silaha ya mshambuliaji ilikuwa bastola tu. Silaha zingine amezipata kutoka kwa askari aliowashambulia na kuwaua kwa bastola yake!
 
Leo CHADEMA mko na polisi hahahahah Mungu ibariki Tanzania na watu wake wote
Tunasema hatubembelezi, hamkawii sema hata majambazi wa leo ni kikosi Cha Mbowe,ila hamtashida

Mungu ananiambia, na aniuliza why mkuu wa nchi asipo kua nchini, au awapo nje ya nchi ,lazima pawepo na tukio, mfano teuzi n.k

Nami nikasema e BWANA walijua Taifa lako na watu wake , Bwana anasema ACHENI Mara moja
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Siku nyingine usitumie kinyeo kufikiri
 
Back
Top Bottom