CHADEMA acheni usanii hamna huruma yoyote na Jeshi la Polisi wala Serikali


I Wish I Could Be IGP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona kama mkuu umeumia sana na hiyo barua ya Chadema? Kwani hasa ina ubaya gani hiyo? Wewe ulitaka waandikije? Au hukupenda kabisa wao watoe pole kwa watanzania wenzetu na walinzi wetu wa raia na mali zao walivyopata madhira hayo? Naona umepata moto kweli kweli..[emoji3]
 
Wangenyamaza bila kutoa tamko napo bado mngeongea tu. Yaani watu kila kitu ni siasa. Very useless people.
 
Mkuu CHADEMA tokalini wanahuruma na watanzania? Toka lini? Siyo CHADEMA wanaozunguka dunia nzima kuomba wafadhili na wahisani wazuie misaada na hata mikopo kwa ajili ya watanzania? WAACHE UNAFIKI.
 
Siku ukikutana na kadhia za polis na dhuluma za wazi juu yako usije kulialia hapa
 
hata barua ya kijinga

Hili lichama lishajifia


muuajia alikuwa na bastolaz akawaua polisi wawili akachukua silaha zao

eti anatembea na silaha za kivita.... bila kuonekana ( mwendelezo wa kusikia sikia tu)
 
Magaidi ni makada wa ccm wala si CDM.
 
Mtu kama wewe huna faida yoyote kwa yeyote. Huna faida kwa CCM, CHAD weEMA, ACT au chama chochote. Huna faida kwa Taifa letu. Wewe ni shetani katika umbile la mwanadamu.

Waliokufa ni binadamu, ni watanzania, ni ndugu zetu, ni watoto wetu wetu, ni wazazi na ndugu, ni wenzetu miongoni mwetu.

Hata kama CHADEMA wanaonewa, lakini hawaonewi na askari kama hao, wanaowaonea CHADEMA, wapo maofisini wakipulizwa na AC, wakiwa kwenye viti vya kuzunguka.

Poleni wanafamilia wa hawa marehemu.
 
Nawapongeza Chadema kwa kuwa chama kinachojielewa. Ndio utanzania huu.
Nawe metal mada umewainua sana Chadema kama hujafahamu
 

waambie ccm nao watoe ndiyo uzalendo huo,
 
Kwel ww nguchro
Mkuu CHADEMA tokalini wanahuruma na watanzania? Toka lini? Siyo CHADEMA wanaozunguka dunia nzima kuomba wafadhili na wahisani wazuie misaada na hata mikopo kwa ajili ya watanzania? WAACHE UNAFIKI.
 
Kama wanaonea washauri waache.
 
kinachokutesa ni baada ya chademakutoa pole kabla ya ccm
 
Hatua za haraka za kupoteza polisi watatu? Crazy. Jeshi la polisi! wangekuwa wahalifu wawili tu ingekuwaje? Walishindwa kumjeruhi na kumdhibiti ili kuhakikisha wanapata mtandao wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…