Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #21
Point safi sana Mkuu. Hata mie nilivyoelewa ni kwamba uchangiaji kwenye huduma za wajawazito ulikoma, kwa tozo na misaada toka nje kupunguza vifo vya kina mama na watoto. Ndio maana majibu ya huyu mvuta bangi yanatia karaha sana!Aulizwe Mwigulu, Ummy/Jenista, katibu mkuu afya; hela wanazopewa na donors mahususi kwa ajili ya kupunguza vifo vya uzazi wanapeleka wapi kama ata gloves hawana.
Kesho utawaona tena wanapiga picha na wazungu wakiomba msaada wa kifedha kupunguza vifo vya uzazi, wakipewa wanazitafuna.
Alikuwa anasema kama huna nauli ya feri ogelea piga mbizi - sasa yule tunajua alikuwa na failii Milembe. Huyu nae anastahili kuwa na faili Milembe.Kwani shujaa alikuwa anaongea Kauli gani?
Elfu 50 sio elfu tano. Watanzania wengi sana bado hawana elimu ya kutambua ukiwa huna uwezo usizae sana au usizae kabisa - bado wanaishi kwa filosofia kwamba kila mtoto anakuja na baraka zake. Kwa hiyo viongozi wanapaswa kuchululia level yao ya kuelimika into context.Aombe radhi ya Nini mbona Yuko sahihi ujauzito sio ajali watanzania waambiwe ukweli wajifunze kuwajibika kama hawawezi kuwajibika wasizae kabisa mtu Hana elfu 5 ya groves ataleaje huyo mtoto hao ndo wanao zaa machokoraa, vibaka na madada poa
Kwani kuna kuwaga na uchaguzi?Swali la msingi kabisa hili, yaani kila kitu wafanyiwe na chadema
FANYENI KAZI MUWEZE KUJIHUDUMIA,SASA HATA ELFU HAMSINI HANA HUYO MTOTO ATALELEWA VIPI.Mungu saidia huyu baba atumbuliwe
Wewe ulizaliwa kwa sababu wazazi wako walikuwa na hiyo elimu? Si ajabu hata wewe kuzaliwa kwako ni product ya kutokuwa na elimu ya uzazi wa mpango au umayai. Kwa hiyo hatupaswi kulaumu watuChadema inabidi wawaamshe watu kutumia uzazi wa Mpango kama Hana uwezo asizae sio lazima Sasa mtu hata elfu 5 ya groves huyo mtoto atalea vipi?
Tuache umayai tujifunze kuwajibika
Hizo milion 5 kwa kila goli zingetosha gloves kiasi gani katika vituo vya afya?na hizo milio 600 wanazo jinunulia magari kwa fedha za umma wangebqna matumizi wakanunua gari za kawaida ambazo ni secure wangejunua vifaa tiba kiasi gani?mkiongozwa na wajinga haya ndiyo matokeo yakeKiburi tu cha kulewa madaraka na kujua hata iweze watudumu madarakani
Sio wajawazito tu Wazanzibari huko visiwani wanatibiwa bureeee, vipimo bureeeee,kama una mtu yupo Unguja muulize.Alafu kule zenji mjamzito hatoi chochote anahudumiwa kila kitu mpaka anaondoka bure tena wengine wanapewa na pampas kabisa bure..
Mtu wao yupo huku sasa dah!
Hizi dhihaka kwa watanzania mlio wapa umaskin kwa sera mbovu ipo siku mtajibiwaFANYENI KAZI MUWEZE KUJIHUDUMIA,SASA HATA ELFU HAMSINI HANA HUYO MTOTO ATALELEWA VIPI.
SERIKALI HAIJAWALAZIMISHA KUBEBA MIMBA.CONDOM ZISIZOPASUKA NI BUKU TU!!!
📌📌KUPANGA NI KUCHAGUA!!!
Hilo utajua wewe kama uliletwa duniani bila mipango walaumu wazazi wako na sio serikaliWewe ulizaliwa kwa sababu wazazi wako walikuwa na hiyo elimu? Si ajabu hata wewe kuzaliwa kwako ni product ya kutokuwa na elimu ya uzazi wa mpango au umayai. Kwa hiyo hatupaswi kulaumu watu
UVCCM kwa ujinga wao wanahongwa visent kupigia debe wezi wa mali za serikali na washangilia tu mali za watanganyika zinawaneemesha wazazibari ujinga wa kiwango kikubwa sana huuSio wajawazito tu Wazanzibari huko visiwani wanatibiwa bureeee, vipimo bureeeee,kama una mtu yupo Unguja muulize.
KWA HARAKA HARAKA MTU HATA HAWEZI KUJIHUDUMIA YEYE MWENYEWE ILA UNAKUTA ANASHINDANA KUZALIANA HOVYO.NI HATARI🤔Aombe radhi ya Nini mbona Yuko sahihi ujauzito sio ajali watanzania waambiwe ukweli wajifunze kuwajibika kama hawawezi kuwajibika wasizae kabisa mtu Hana elfu 5 ya groves ataleaje huyo mtoto hao ndo wanao zaa machokoraa, vibaka na madada poa
Utakuta watu kama nyie mnaosema fanyeni kazi wazazi wenu hawana hata elfu hamsini ndio mlizaliwa mazingira ya umasikini sana lakini mmebahatika kuwa na vijisenti sasa mnawaponda wengine. Wazazi wako walipanga kukuzaa wewe au ulitokea tu wakitarajia ungekuja na baraka zako?FANYENI KAZI MUWEZE KUJIHUDUMIA,SASA HATA ELFU HAMSINI HANA HUYO MTOTO ATALELEWA VIPI.
SERIKALI HAIJAWALAZIMISHA KUBEBA MIMBA.CONDOM ZISIZOPASUKA NI BUKU TU!!!
📌📌KUPANGA NI KUCHAGUA!!!
Wanataka kuleta watoto wateseke bila sababuKWA HARAKA HARAKA MTU HATA HAWEZI KUJIHUDUMIA YEYE MWENYEWE ILA UNAKUTA ANASHINDANA KUZALIANA HOVYO.NI HATARI🤔
Waru wabaya hudunda sana sijui kwaniniMungu saidia huyu baba atumbuliwe
Hongera wewe basi uliezaliwa katika familia inayojitambua kifedha na yenye mipango!Hilo utajua wewe kama uliletwa duniani bila mipango walaumu wazazi wako na sio serikali