Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Chadema ili ishinde ni lazma wabadr kwanza mindset zao za kipumbavu ndipo mengine yafuate...
Pamoja na maelezo yako mengi yenye jazba dhidi ya cdm, hilo suala la kuibiwa kura sio jambo tunahadithiwa bali tunaona kwa macho yetu. Kama ni kura za wananchi cdm wanazipata sana, ndio maana chama cha vyombo vya dola inabidi kiibe. Hakuna cha sera wala nini.