CHADEMA anzisheni vyombo vya habari. Huu sio wakati wa kulalamika

CHADEMA anzisheni vyombo vya habari. Huu sio wakati wa kulalamika

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Kati ya mambo ya msingi ambayo tanakifanya chama kurudi nyuma ni kutokuwa na vyombo vya habari vya chama. Siamini CHADEMA kama taasisi wanashindwa kuwa na vyombo vyao vya habari.

Wanachama tuko tayari kushiriki uchangiaji ilimradi mtuhakikishie kuanzisha Television na Redio ya chama.

2020 hatutegemei mtoe lawama kwa Star tv, Channel ten, ITV huku mkijua fika kuwa vituo hivyo vinafanya kazi kwa hisani ya nani.
 
Sidhani kama gharama ya kuanzisha kituo cha TV na Redio kama inaweza kuwa kubwa kabisa na kushindwa kumudu wanachama wake 6m.
Mfano wakichangia hata 1,000/ tayari inapatikana Billion 6 hapo ujue wapo watakaotoa elfu 10, wapo wa laki na zaidi ya hapo. Kwa hiyo approximately 15B kupatikana wala sio shida kwa chama cha viwango kama Chadema.
Hebu lifanyiwe kazi hilo Mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vinasajiliwa na nani? ni hao hao wanaozuia mikutano cha CDM isirushwe.....watakwambia Leseni bado bado bado, hujatimiza kigezo A, Ukimaliza A kinakuja B etc hadi Z

Mtu mwenye SGR ya fitna huwa hana utu wala chembe ya aibu.
 
Kama Uhuru fm n.k vilidajiliwa hata cha uponzani kitapata usajili tu
Vinasajiliwa na nani? ni hao hao wanaozuia mikutano cha CDM isirushwe.....watakwambia Leseni bado bado bado, hujatimiza kigezo A, Ukimaliza A kinakuja B etc hadi Z

Mtu mwenye hitna huwa hata utu wala chembe ya aibu.
 
Kati ya mambo ya msingi ambayo tanakifanya chama kurudi nyuma ni kutokuwa na vyombo vya habari vya chama. Siamini CHADEMA kama taasisi wanashindwa kuwa vyombo vyao vya habari.

Wanachama tuko tayari kushiriki uchangiaji ilimradi mtuhakikishie kuanzisha Television na Redio ya chama. 2020 hatutegemei mtoe lawama kwa Star tv, Channel ten, ITV huku mkijua fika kuwa vituo hivyo vinafanya kazi kwa hisani ya nani.
Katika list hiyo mpaka sasa ondoa Independent Television (ITV) inaishi jina lake, iko balanced.
 
Sidhani kama gharama ya kuanzisha kituo cha TV na Redio kama inaweza kuwa kubwa kabisa na kushindwa kumudu wanachama wake 6m.
Mfano wakichangia hata 1,000/ tayari inapatikana Billion 6 hapo ujue wapo watakaotoa elfu 10, wapo wa laki na zaidi ya hapo. Kwa hiyo approximately 15B kupatikana wala sio shida kwa chama cha viwango kama Chadema.
Hebu lifanyiwe kazi hilo Mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hili wazo tuliwahi kulisema sana toka enzi za JK maana hata wakati ule cdm walikuwa wananyimwa coverage mara kwa mara. Ila kwa sasa sidhani kama watapatiwa usajili kutokana na mazingira yaliyopo. Tujaribu hilo maana kwa sasa halikwepeki.
 
Chakaza
Wanachama 6M walikuwa wa Mamvi, kwa sasa wamebakia hawa tu janja janja wa JF.... na wachache mno uraiani.
 
Chakaza
Wanachama 6M walikuwa wa Mamvi, kwa sasa wamebakia hawa tu janja janja wa JF.... na wachache mno uraiani.
Sasa unadhani hao waliojiunga wakati wa Mamvi waliondoka? Mnajidanganya na wabunge waliokuwa naye kuwarubuni ndio wananchi wa kawaida?
Hivi unadhani kwa nini Jafo na watendaji waliamriwa kufyeka wagombea wote wa upinzani kwenye uchaguzi SM? Research ilishafanywa na majibu kuwa CCM ikipata hata 30% ikatambike!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wazo zuri ila nina wasiwasi kama mamlaka husika zitawapa kibali, kwa mwendo huu CDM hawana chombo chochote wanawapelekesha hivyo, je wakianzisha Radio na TV itakuwaje?!, they know it, hawatawaruhusu!. Dawa yao ni kutumia tu mitandao mingine ya kijamii habari zinafika tu, siku hizi wengi wana simu za mikononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom