CHADEMA anzisheni vyombo vya habari. Huu sio wakati wa kulalamika

CHADEMA anzisheni vyombo vya habari. Huu sio wakati wa kulalamika

Kati ya mambo ya msingi ambayo tanakifanya chama kurudi nyuma ni kutokuwa na vyombo vya habari vya chama. Siamini CHADEMA kama taasisi wanashindwa kuwa vyombo vyao vya habari.

Wanachama tuko tayari kushiriki uchangiaji ilimradi mtuhakikishie kuanzisha Television na Redio ya chama. 2020 hatutegemei mtoe lawama kwa Star tv, Channel ten, ITV huku mkijua fika kuwa vituo hivyo vinafanya kazi kwa hisani ya nani.
Uko sahihi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Uhuru fm n.k vilidajiliwa hata cha uponzani kitapata usajili tu
Tatizo ni dhamira kwa viongozi wa chama wenyewe. Wamewahi kupewa pesa na chama rafiki cha Uingereza waanzishe gazeti la chama mwenyekiti Mbowe akaanzishia gazeti lake binafsi la Tanzania daima.
 
Kati ya mambo ya msingi ambayo tanakifanya chama kurudi nyuma ni kutokuwa na vyombo vya habari vya chama. Siamini CHADEMA kama taasisi wanashindwa kuwa vyombo vyao vya habari.

Wanachama tuko tayari kushiriki uchangiaji ilimradi mtuhakikishie kuanzisha Television na Redio ya chama. 2020 hatutegemei mtoe lawama kwa Star tv, Channel ten, ITV huku mkijua fika kuwa vituo hivyo vinafanya kazi kwa hisani ya nani.
Naunga mkono hoja
P
 
Tatizo ni dhamira kwa viongozi wa chama wenyewe. Wamewahi kupewa pesa na chama rafiki cha Uingereza waanzishe gazeti la chama mwenyekiti Mbowe akaanzishia gazeti lake binafsi la Tanzania daima.
Kwahyo mzee anatupiga
 
Laki 1 yao ipo hapa. Kazi kwao kuanza uhamasishaji.

No hate no fear.
 
Naunga mkono pendekezo hilo ila nina wasiwasi utawala huu wa magu hautaruhusu hilo kutokea!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hili wazo tuliwahi kulisema sana toka enzi za JK maana hata wakati ule cdm walikuwa wananyimwa coverage mara kwa mara. Ila kwa sasa sidhani kama watapatiwa usajili kutokana na mazingira yaliyopo. Tujaribu hilo maana kwa sasa halikwepeki.
Wanatuma mashushu wanasajiri kama chombo binafsi baada ya kufanya kazi miezi kadhaa,
Chama kina act kukinunua kinakuwa mali yao,mbona Simple tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vituo vya luninga mlichokifanyia Chadema Mungu anawaona, sio kwa woga huo, hata kulipwa mnakataa pesa kisa kuogopa serikali!
 
Kama dhamira yenu kuu ni kuisaidia nchi, woga wenu wa nini? Ila kama dhamira yenu ni kuligawa Taifa basi lazima muwe na woga na Kwa hili hatuvumiliani
 
Back
Top Bottom