LGE2024 CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Chadema tumeshauri mjiondoe kwenye huu uchaguzi hamtaki kusikia Sasa mtapambana wenyewe
 
Hii ndiyo silaha yao lakini itafika wakati wananchi watachoka watakuwa tayari kwa lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…