CHADEMA badilikeni kila siku tunawachangia pesa kwa mtindo huu

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.

Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.

Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.

 
Chadema ni walemavu wa akili so kuwachingia ruksa

USSR
 
Lini umewahi kuchanga?
 
Hii ngumu sana yani watu wanajitapa kutengeneza tatizo kisha wanapitisha bakuli la michango wakati wao ndiyo walijitapa kuwa wembe ulele watautumia.
 
Jeshi la Polisi ndilo lenye jukumu la ulinzi na usalama na kuhakikisha usalama wa raia na mali zao.

Jeshi la Polisi linapotoa TAMKO kuzuia mikutano ya kisiasa kiharamu; ni vema vyama vya siasa vikatumia njia za kisheria siyo kukaidi huku wakijua fika watakamatwa!
 
Hiki chama kinaenda kupotea kabisa kina watu wa hovyo kabisa kama huyo alietoka gerezani juzi huko Mbeya ni chizi kabisa anapewa fursa ya kuongea anaongea matusi mazito hadi aibu sasa sijui tunaelekea wapi na hizi siasa mbovu zisizo na stara.
 
Hiki chama kinaenda kupotea kabisa kina watu wa hovyo kabisa kama huyo alietoka gerezani juzi huko Mbeya ni chizi kabisa anapewa fursa ya kuongea anaongea matusi mazito hadi aibu sasa sijui tunaelekea wapi na hizi siasa mbovu zisizo na stara.
Kinapotea lkn uchaguzi ukifika mpira kwapani
 
Sheria gani unayosemea taratibu za kufanya mikusanyiko zinafahamika na utaratibu wa vikao vya ndani vya kisiasa haukabadilika sasa nyie mnajifanyia mnavyotaka halafu mnasema kule gerezani unavuliwa nguo ndio mnapekuliwa kwamba mnataka mashine za kuwapekulia mkishaharibu yaani baada ya kununua vifaa tiba mnunuliwe mashine kama mnaenda mlimani city mall hiyo haipo, huko magerezani hakuna tuzo yoyote zaidi ya kujidhihirishia ni wakaidi wa kutii sheria.
 
Chadema na Arsenal ni kama ndugu, wote wana hali mbaya.

Hv chadema wakishika nchi, wataanza kujenga chama chao au nchi.?
 
Umefufuka baada ya Rais Muisilamu kushika dola. Ulipotea tangu JK astaafu. Karibu tena. Mama anaupiga mwingi hasa
 
Weka hapa kumbukumbu za uchangiaji wako,ama ni nyie msio aminika mkisemacho na mtendayo siku zote yako tenge.
 
Weka hapa kumbukumbu za uchangiaji wako,ama ni nyie msio aminika mkisemacho na mtendayo siku zote yako tenge.
Safari hii watu wamegoma kuchanga,machale yamewacheza.
 
Ebu acheni usanii basi.
 
Hii ngumu sana yani watu wanajitapa kutengeneza tatizo kisha wanapitisha bakuli la michango wakati wao ndiyo walijitapa kuwa wembe ulele watautumia.

Tena kwa hii post yako acha nitume 50elfu tena muda huu, hutaki jinyonge.
 
Tena kwa hii post yako acha nitume 50elfu tena muda huu, hutaki jinyonge.
Tuma tu ingie kwenye account ya Mbowe, wafuasi wa Chadema wameishaachiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…