CHADEMA badilisheni bendera ya chama chenu, rangi nyekundu ni ishara kuwa mnataka nchi kwa kumwaga damu, hamtafanikiwa hadi siku ya kiama

CHADEMA badilisheni bendera ya chama chenu, rangi nyekundu ni ishara kuwa mnataka nchi kwa kumwaga damu, hamtafanikiwa hadi siku ya kiama

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.
 
Hata red light na green light tofauti ni kubwa sana
Una hoja hapo
Hata $ ina kijani pia
In God we trust 🙏
Vijana wanachochewa kwenye mitandao na sms halafu wakipotea wazazi ndio wanalia
Huku yanabaki maneno tu ya hashtag #️⃣
 
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.
1732797167812.png
 
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.
damu itawezeshwa kumwagwa na ccm. ili damu imagwike lazima kuwe na jeraha. Bila jeraha hakuna damu.
 
Ukisikiliza hituba za Lissu, unaona kabisa ana kiu ya damu, ila sio ya kwake au ya watoto wake, ya wale ambao wakiambiwa, hawachanganyi na zao.

Yeye hata kumwaga mkojo wake, lazima aende maliwatoni
 
Sijawahi kuielewa CHADEMA....Watapigwa kwenye uchaguzi mkuu mpaka waseme poo wasipojirekebisha...nakuachana na siasa za chuki..uchochezi...vurugu kujifanya wanaelewa mipango ya wengine kuliko ya kwao badala ya kujikita katika kujenga hoja za madhaifu ya wengine...mimi kama mwananchi nisiokuwa na chama siku nikiitaji kuingia kwenye chama hunishawishi kuingia CHADEMA kwani sera zao hazieleweki zaidi ya kumzungumzia mtu fulani.
 
Mb
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.
Mbona simba sport club husemi? Halafu hawa ni graduate from university
 
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.

..mbona CCM ina rangi ya kijani sawa na NYOKA?

..mbona timu ya Simba wanavaa rangi nyekundu na ubingwa wameshinda?
 
Wapi Ben saanane na Azory, wapi mzee Kibao? Damu za watu zitawabemenda vibaya ninyiii - mtakufa vifo vibaya ninyi..

Rangi nyekundu ni damu za watanzania wenzetu waliopotezw kwa kudai demokrasia ya kweli katika nchi yao.
 
Wanataka kumwaga damu ipi mzee mbona Unazungumza vitu huelewi maana yake? 😀
 
Nanukuu.

xxxxxxxxxxxxx
ZIJUE RANGI ZA BENDERA YA CHADEMA NA MAANA ZAKE

Wakati tunasoma hapa,Ujumbe huu uwafikie vijana wa Lumumba amabo wanaeneza propaganda kuwa CHADEMA ni chama cha umwagaji Damu kwa kuchukua Reference ya Rangi NYEKUNDU.

Kutoka kwenye katiba ya chama Toleo la 2006 na marekebisho yake ya 2016 ,,,Bendera ya CHADEMA ina Rangi kuu nne.ambazo ni Nyekundu,Nyeupe,Nyeusi na Bluu isiyokoza.

NYEKUNDU {RED}.

Hii ni Rangi inayowakilisha mashujaa na ukombozi.,,Chadema inathamini historia ya nchi yetu.,Ambayo inawakilisha kumbukumbu ya Mashujaa waliotupitisha katika michakato mbalimbali ya kidemokrasia na maendeleo ,ikiwemo harakati za kuondoa ukoloni.Rangi hii ni chimbuko la uzalendo wetu.

2:NYEUPE { WHITE}.

Rangi hii inawakilisha UKWELI,UWAZI & AMANI. Huu ndiyo msingi muhimu wa chadema ,,,Chadema kinaamini katika kusimamia uadilifu kwa njia ya Demokrasia.

3:NYEUSI {BLACK}.

Rangi hii inawakilisha watu wa Tanzania.Hii ni Rangi asili ya wazawa wa nchi yetu.ni Rangi pia inayobeba falsafa ya chama chetu ya "PEOPLE'S POWER✌🏽" yenye maana ya "CHADEMA NGUVU YA UMMA" .

4:BLUU ISIYOKOZA {LIGHT BLUE}

Hii ni Rangi inayowakilisha HAKI. Lakini pia Rangi hii inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/Raslimali na muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.

NEMBO YA CHADEMA.

Nembo ya chadema ina picha ya vidole vitano,ambapo vitatu vimekunjwa na viwili vimesimama hivyo kuunda herufi "V" Ambayo ni ishara ya ushindi na umoja.

Hivyo Vazi lolote la CHADEMA linatambulika kuwa ni la chama endapo tu lina hiyo nembo na maandishi yanayo zunguka vidole viwili yakiwa yanasomeka "CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO" kutoka kwenye muongozo wa katiba ya chama ibara ya 1.3 .

Kauli mbiu inayotumika ya chama halali ni CHADEMA {Kiongozi} .....VEMA√ {Waitikiaji}.

CHADEMA {Kiongozi}×2 ..............Mabadiliko ya kweli,Uhuru wa kweli. {Waitikiaji} .

Kwa kiingereza!!

PEOPLE'S {Kiongozi} ......POWER {Waitikiaji} ....ibara ya 1.4.

Musa Mabula Masasi

Katibu chaso Mwenge Msitaafu.✌🏽✌🏽✌🏽

xxxxxxx

Mwisho wa kunukuu.
 
On my side I had never understood CDM morons at least I had managed to capture UKAWA's philosophy but from there nothing from CDM rather than creating chaos
 
Bendera ya Chadema ina rangi nyekundu, kila mtu anajua maana ya nyekundu ni nini, lakini pia ukisoma Katiba ya Chadema unaona kabisa kuwa kwa namna ilivyoandikwa inaashiria kuwa wao ni watu wa vita tu, nchi hii imepata uhuru wake kwa amani kabisa bila kumwaga damu, nyie mna bendera yenye rangi nyekundu, kwa maoni yangu itakuwa ngumu sana kupewa uongozi wa nchi kwa kutumia rangi nyekundu.

La pili kazi kubwa imefanywa katika kuijenga nchi hii, watu wamekufa katika kuitetea nchi hii, nyie mnasema mnatafuta uhuru hapa nchini, mbona naona kama sera na mipango yenu ni ya mashaka sana, badilisheni mipango yenu, hamuwezi kutaka uongozi wa nchi huku mnatukana viongozi, mnatishia kumwaga damu, mnashirikiana na mabeberu kutaka kuisaliti nchi, akina Lissu wameacha familia zao kwao huko Sweden huku wanazuga tu.

Mwisho, waonyeni vijana wenu akina Mdude, Boni Yai, Mwaipaya, Sativa, Martin na akina MAria Sarungi kuwa kwa harakati zenu mnazoendelea nazo huku mkitegemea jumuiya za kimataifa ziwasaidie hamtofanikiwa, mtaumiza vijana wengi nchi hii, kwa sababu hamtafanikiwa kwa lolote, kama uchaguzi wa mitaa umekuwa hivi itakuwaje huo uchaguzi wa mwakani, kesho mnasema mnakaa wakati leo mko na kikao cha Baraza Kuu Dodoma, wenzenu wanajua kila mnachopanga, kesho mnakutana hata mkipanga kupeleka vijana wa kujibu mashambulizi mtapoteza maisha ya vijana hawa, kaeni pamoja na serikali mjadiliane namna ya kufanya siasa za kistaarabu, siasa za akina Lema kumtishia kifo Rais aliye madarakani ni mambo ya kijinga sana haya.
Akili za wapi hizi?
Kwa hiyo Simba, Vodacom na Airtel ni wamwaga damu?
Kwa hiyo unataka kusema yale magari ya NBC ni ya kumwaga damu?
Kwamba ule uwanja wa taifa pale kwa Mkapa ni mahali pa watu kumwaga damu?

Kuhusu kushindwa uchaguzi nadhani Chadema/upinzani wenyewe walifuata mawazo ya kijinga ya Zitto Kabwe. Ingefaa uchaguzi usiwepo kabla ya Katiba Mpya.

Kuhusu wanaharakati, sidhani kama kuna shida kila mmoja akipambana kadri anavyoweza! Wanaharakati hata ndani ya ccm wapo!
 
Back
Top Bottom