Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Acha ujinga kabisaDuh.. Kazi kweli haya basi hamjawahi kusema hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga kabisaDuh.. Kazi kweli haya basi hamjawahi kusema hivyo
Uko sahihi 💯 mkuu na huko tunako elekea tuombe Mungu akatupe wepesi was kuchambua pumba na mchele ,tuna just Kama Kuna mazuri yamefanyika na Kuna mabaya yamefanyika hivyo tungependa kuona vyombo vya usalama basa polisi wawalinde wananchi badala ya kuwavurugaUkweli bado Ni mchungu, Chadema bado tishio uchaguzi mkuu. Kuna dalili kuu nyingi kwamba CCM wanaingiwa hofu kwa jina la Chadema.
Viongozi wa Chadema hawaruhusiwi kuongea na wakiongea utawasikia polisi wakiwaita au kukataliwa kabisa kuongea. Hii Ni hofu kubwa kwa CCM na serikali yake. Ukifuatilia mienendo na hukumu za vyesi vyao bado utagundua Ni kutokana na hofu ya kuwapora madaraka CCM.
Sehemu nyingine Ni kampeni ya mapema ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu. CCM imetumia vyama jukwaa la siasa takribani miaka yote 5 hii kujinadi kutoa ahadi kupitia kwa mwenyekiti wao.
Pia mazingira ya hamahama kwa wabunge wa upinzani na figisu kufanyika kuwarudisha wabunge walewale kwa kuminya uchaguzi kuwatangaza kwa lazima Ni dalili tosha kuwa CCM haiwawezi Chadema kwenye chaguzi huru.
Polisi na wakurugenzi ambao pia Ni makada ya chama wamehakikisha wanavuruga chaguzi za marudio ili kuwapa CCM ushindi.
Mahala pengine wakuu wa usslama polisi wsmesikika wskijinadi kuwa chama pekee Ni CCM bila kuchukuliwa hatua. Hii Ni pamoja na kuwabambikia wafuasi wa Chadema vyesi na kuwaweka ndani na kuwanyima dhamana.
Mambo Ni mengi Ila kipenga kitakapopulizwa na uwanja kuwa bila miiba Basi CCM inaweza kuondoka. Kikubwa Ni utulivu na haki itendeke.
Raia wapi wamekipotezea? Kwani Raia hawajui zilipotea Tilion 1.5 kisha CAG akatolewa kafara, Raia wanajua Ndungai alipiga bilion 12 peke yake akiwa India, wanajua zilipotea bilion 252 wizara ya ujenzi kienyeji na wanajua habari za kivuko cha Dsm-Bagamoyo wanajua 10% ujenzi wa flyover, bwawa la umeme, Reli, chato Airport na michongo kibao ya CCM, watanzania siyo wajinga kiasi unachofikiri wanajua vitu vingi sana lakini wameamua kuwa wavumilivu ingawa uvumilivu huwa na mwisho wake.Kabisa
Chadema i deal na raia ambao wamekipotezea sio CCM
Najua unajua mpaka sasa CDM can talk ...haina ubishi, kama 2015 haikuwa, haiji tena
Bilion 12 alizokula Ndungai peke yake CCM
Pia mtaulizwa issue za 8.9bn ambayo kubali ukweli huu mchungu pia, unless wewe ni mnufaika
Endelea kuota
Najua ni ngumu kuamini
Kabisa
Chadema i deal na raia ambao wamekipotezea sio CCM
Najua unajua mpaka sasa CDM can talk ...haina ubishi, kama 2015 haikuwa, haiji tena
Pia mtaulizwa issue za 8.9bn ambayo kubali ukweli huu mchungu pia, unless wewe ni mnufaika
Endelea kuota
Najua ni ngumu kuamini
Kenya , Zambia, Malawi, Ghana, Gambia, Congo walikuwa na vyama vyenye mbinu za uchakachuaji kama ilivyo CCM ya sasa lakini uchakachuaji ulifika mahala ukakwama na upinzani kuingia madarakani, hakuna mabaya yasiyo na mwisho, ipo siku mbinu za uonevu uovu wa CCM zitakwama na utakuwa mwisho wa CCM.Sure, usiku mmoja unatosha kubadilisha kila kitu
Raia wanajua mchongo wa ununuzi Ndege kwa cash ulivyo na 10% za wajanja wachache, wananchi wanajua vingi kiliko CCM wanavyofikiriaHao wananchi ni viazi waache kuuliza 1.5t waulize hela ya juice ya Azam?
Ununuzi wa wapinzani unaofanywa na CCM ndiyo unaivuruga chadema, kama siyo CCM kutumia pesa za viwanda pesa za maendeleo kuidhoofisha chadema leo hii Taifa lingekuwa lina maendeleo kuliko mataifa mengi Duniani, pesa nyingi inatumika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali.Hivi kama ndani ya hicho Chama wenyewe kwa wenyewe tu ' Wanakataana ' na ' Kusalitiana ' utasema kweli kuwa CHADEMA ni Tishio kwa CCM?
Raia wanajua mchongo wa ununuzi Ndege kwa cash ulivyo na 10% za wajanja wachache, wananchi wanajua vingi kiliko CCM wanavyofikiria
Acheni wananchi wenyewe ndiyo waamue kwani wao hawana shida na Uenyekiti wa mbowe, cha ajabu CCM ndiyo wanahaha na kumhujumu mboweSasa yale maneno yenu kwamba Mbowe akiachia uenyekiti chadema inakufa huwa mnatoa wapi.?
Mwagito unafeli wapi? Kusoma hujui hata picha huoni?
Hebu nawe ndugu taja top layer ya CCM bila ya kutumia vitisho pamoja na mabavu ya jeshi la PolisiKinachoishi kinajulikana
Ebu taja top layer ya CDM kwa sas
Msiwafanye watu wajinga, hamkuwa na tabia ya kuwaonya viongozi wenu, wamepiga hela na hawana uchungu huo ambao wewe mbunyu unao
We all once loved it
Mbowe kawa kichekesho
chadema ni msingi na msingi ni wananchi we endelea kusubiri top layerKinachoishi kinajulikana
Ebu taja top layer ya CDM kwa sas
Msiwafanye watu wajinga, hamkuwa na tabia ya kuwaonya viongozi wenu, wamepiga hela na hawana uchungu huo ambao wewe mbunyu unao
We all once loved it
Mbowe kawa kichekesho
MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPAUkweli bado Ni mchungu, Chadema bado tishio uchaguzi mkuu. Kuna dalili kuu nyingi kwamba CCM wanaingiwa hofu kwa jina la Chadema.
Viongozi wa Chadema hawaruhusiwi kuongea na wakiongea utawasikia polisi wakiwaita au kukataliwa kabisa kuongea. Hii Ni hofu kubwa kwa CCM na serikali yake. Ukifuatilia mienendo na hukumu za vyesi vyao bado utagundua Ni kutokana na hofu ya kuwapora madaraka CCM.
Sehemu nyingine Ni kampeni ya mapema ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu. CCM imetumia vyama jukwaa la siasa takribani miaka yote 5 hii kujinadi kutoa ahadi kupitia kwa mwenyekiti wao.
Pia mazingira ya hamahama kwa wabunge wa upinzani na figisu kufanyika kuwarudisha wabunge walewale kwa kuminya uchaguzi kuwatangaza kwa lazima Ni dalili tosha kuwa CCM haiwawezi Chadema kwenye chaguzi huru.
Polisi na wakurugenzi ambao pia Ni makada ya chama wamehakikisha wanavuruga chaguzi za marudio ili kuwapa CCM ushindi.
Mahala pengine wakuu wa usslama polisi wsmesikika wskijinadi kuwa chama pekee Ni CCM bila kuchukuliwa hatua. Hii Ni pamoja na kuwabambikia wafuasi wa Chadema vyesi na kuwaweka ndani na kuwanyima dhamana.
Mambo Ni mengi Ila kipenga kitakapopulizwa na uwanja kuwa bila miiba Basi CCM inaweza kuondoka. Kikubwa Ni utulivu na haki itendeke.
Maji yapi? Kuna kufa mwenyewe na kufa kwa kuuawa?MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPA
POLE SANA
Akili ni zankuzaliwa nazo, elimu ni mafundisho tuu, hata Panya anafungishwa na anafanya miujiza.Hii Kali sana