CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
1630075620973.png
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Tafuta video ya askofu shoo wa kkkt msikilize au mch lusekelo nae ni chadema?
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Katika top ten ya wachochea chuki katika taifa letu,wewe haukosekani,vipi pale unapo furahia uonevu,manyanyaso,ubambikiaji kwa wale wasio wa upande wako wa kiitikadi?Tuseme hizo ni zawadi kwa wenye mawazo na mitazamo tofauti na wewe?Au tuseme nini?Tupe jina zuri la kutumia labda tunatofautiana uelewa tu.
 
Mtu wa chadema akipata shida wanailaumu serikali
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Tatizo lako wewe ng'ombe unatumia nguvu kubwa sana huku ukishirikiana na madhalimu kuonesha malalamiko ya wananchi ni malalamiko ya chadema.

Mnachokitafuta mtakipata!
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
U
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Acha upuuzi mkuu, umesikia walichoongea chadema kama chama kuhusu tukio? Yaani watu wenye hasira zao juu ya polisi unawaita chadema, yule hamza kuwaua polisi ni chadema yule,
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Mbona Chadema ilisha kufa.

Utaolewa na Chadema maana unakesha unajamba ushuzi kwa kuiwaza Chadema.
 
Hovyo Sana hawa jamaa eti nao utasikia wanalalamikia udikiteta wakati ukimpinga tu bwana Yule,uanze kutafuta pa kuhamia.

Wanalalamikia miundo mbinu Wakati wameshindwa hata kuwa na kijumba Cha makao makuu,pamoja na ruzuku zote.
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Kutembelea makaburi ya Chato, next weekend, usisahau.

1630079131394.png
 
Back
Top Bottom