CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Najua pengine ulikuwa hujazaliwa, swali hili ungewauliza waganda walipoichukia serikali yao kiasi cha kuwaunga mkono majeshi ya Tanzania na kuwaita wakombozi ungejibiwa na wala usingeuliza tena. Kufupi ni kuwa usipotenda haki hata kwa wanao unazalisha chuki ,na pengine wakajuta kuwasehemu ya familia yako.
 
Hovyo Sana hawa jamaa eti nao utasikia wanalalamikia udikiteta wakati ukimpinga tu bwana Yule,uanze kutafuta pa kuhamia.

Wanalalamikia miundo mbinu Wakati wameshindwa hata kuwa na kijumba Cha makao makuu,pamoja na ruzuku zote.
1630079684192.png
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
una uwezo mdogo sana
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.

Hata alivyokufa meko tulifurahi pia
 
U

Acha upuuzi mkuu, umesikia walichoongea chadema kama chama kuhusu tukio? Yaani watu wenye hasira zao juu ya polisi unawaita chadema, yule hamza kuwaua polisi ni chadema yule,
Chama ni watu na watu wanaCdm
 
H
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Hivi wewe ni mzima kweli?
 
Wenye chuki na taifa hili ni wale wanaonunua magari ya kifahari mil. 200 kwa kodi za wananchi halafu wanajiuzia mil. 5.

Wenye chuki na taifa letu ni wale wanaojaza magari mabovu kila ofisi za umma kisha wanajiandikia pesa za mafuta,tairi,spea na kuzitafuna kupitia magari juu ya mawe.

Wenye chuki na taifa letu ni wale wanaoajiri watu kwenye wizara ya ardhi lakini hawapimi viwanja kwa watanzania kwenye ardhi aliyoiumba Mungu matokeo yake wanasubiri watu wajenge juu ya mawe na mabondeni kisha wanadai kodi ya majengo wakati hawakufanya jambo lolote kuwawezesha hata kupima viwanja kwa kamba .

Wenye chuki na nchi yetu ni wale waliozoea kudhulumu kura za wananchi kwa kutumia bunduki na sasa wanadhulumu madini ya watu badala ya kuyapeleka panapohusika ili yalipiwe kodi.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale wanaoshindwa kuwalipa maaskari mishahara inayokidhi mahitaji ya mwezi matokeo yake wanawaacha wakitafutie kijambazi ili nao waishi kama binadam.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale Makada wa CCM kama akina Hamza wanaowaua askari wetu bila huruma na kuchukua silaha ili zimilikiwe na wajumbe. Kweli wajumbe sio watu wazuri.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale wanaoshindwa kujenga masoko maeneo rasmi kwa sababu wameshindwa kupima miji na kuacha maeneo ya biashara na masoko . Uzembe wao umeligharimu taifa kila sehemu ni wachuuzi.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale wanatunga sheri mbovu ya kuwawekea kinga ya kutoshitakiwa binadamu na makada wa CCM ili wavunje sheria kulinda maslahi yao kuipitia bunge ,mahakama, msajili wa vyama,serikali ili tu wakandamize wapinzania wao badala ya kusimamia haki. Kinga kwa ajili ya dhuluma ni chuki kwa Taifa.

Wenye chuki na Taifa letu ni wale wanaobambika watu kesi na kujenga chuki na visasi bila sababu.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale wanaotoa madaraka kwa upendeleo na kwa watu wasio na uwezo na ubunifu.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale walioficha ugonjwa wa Rais wetu wa awamu ya tano mpaka akafariki bila kutuambia ili tumuombee kwa Mungu. Wakaacha mpaka kifo chake wakaendelea kudanganya.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale waliotumia mabilioni ya pesa kuleta katiba ya wananchi lakini wakaona kuwa katiba ya wananchi itawafanya wawe watumishi wa umma sio mabwana wakubwa na waheshimuwa na watapaswa kuwa waadilifu na kuweka wazi mali zao matokeo yake wakaamua kumuua Dr. Mvungi na kuwatisha wengine na kuwapiga huku wengine wakitolewa majalalani ili waikane katiba ya wananchi.

Wenye chuki na Taifa hili ni wale wanaotumia 75% ya pato la nchi kwenye utawala na mambo ya starehe badala ya kuinua maisha ya wananchi na mifumo ya Elimu na afya.

Wenye chuki na nchi yetu ni wale wanaoshindana kufanya vikao na semina ili wajilipe baada ya JPM kutangulia mbele za haki, wanaponda fedha za umma huku wakimponda mwananchi kwa tozo za simu.

Mwenye chuki kubwa kabisa na taifa hili ni mleta mada hii .
 
Umeongea point sana chadema kimekosa sera kimebakia kuliombea taifa mabaya na kufurahia vifo na majanga kwa viongozi
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Kigogo hadi huku upo? Ila kipo kitu wamekufanya chadema sio bure. Yaani kama manara anavyichukia simba ndio wewe unavyoichukia cdm wakati ndio ulikuwa mpiga kelele wao
 
Mwenyekiti wao mwenyewe ni Mfadhili mkuu wa vitendo vya kigaidi, sasa wafuasi wake watakuwa hali gani?
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Watakuwa wanavuna ujinga wao kila uchaguzi
 
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.

Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.

Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba yaliyotea ni mazuri.

Mnadai kuna dhuluma za kisiasa ndio maana mmelichukia taifa lenu. Kama kuna dhuluma za kisiasa kwa nini mmekuwa mnashiriki uchaguzi kwa miaka ishirini? Na mkipata wabunge mnafurahi na kukaa kimya. Kisa tu mnapata ruzuku na michango.

Mwaka jana kubwagwa chini kama pipa tupu ndio sababu ya kulichukia taifa lenu?

Acheni chuki zisizo na mashiko kisa tu mlikosa wabunge ambao ni chanzo cha mapato hapo Chadema ya kinondoni.
Pengine kuna kitu cha maana unataka kuongea lakini kwa sababu umekosa akili, umeshindwa namna ya kukiwakilisha. Mtafute mtu mwenye akili, umweleze ulichotaka kuandika, kisha akilete hapa JF. JF ni kwaajili ya watu wenye akili timamu tu.
 
Pengine kuna kitu cha maana unataka kuongea lakini kwa sababu umekosa akili, umeshindwa namna ya kukiwakilisha. Mtafute mtu mwenye akili, umweleze ulichotaka kuandika, kisha akilete hapa JF. JF ni kwaajili ya watu wenye akili timamu tu.
Utakuwa hujui kusoma.
 
Back
Top Bottom