CHADEMA, Dkt. Bashiru anafanya kazi yenu lakini mlivyo mazuzu hata hamuoni!

CHADEMA, Dkt. Bashiru anafanya kazi yenu lakini mlivyo mazuzu hata hamuoni!

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.

Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni kazi endelevu ya siku zote. Lakini imekuwa uchaguzi unapoisha tu, CDM wanasahau kero za wananchi.

Kwa jinsi wakulima wanavyonyonywa nchi hii, tulitegemea mpaka sasa wengi wao wawe wanaielewa CDM, lakini ni kinyume chake, wakulima maskini wa vijijini bado ni ngome kubwa ya CCM.

Bashiru amefanya kazi yenu. Jinsi ambavyo wanaCCM wamekurupuka kujibu ndivyo manatakiwa kuwafanya kila siku. Wasikae wakapumua.

Muache kushabikia wanaCCM wanavyotupiana madongo, hao wamejipanga vizuri sana na mambo yao. Sakata la Bashiru liwakumbushe kazi yenu.
 
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.

Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni kazi endelevu ya siku zote. Lakini imekuwa uchaguzi unapoisha tu, CDM wanasahau kero za wananchi. Kwa jinsi wakulima wanavyonyonywa nchi hii, tulitegemea mpaka sasa wengi wao wawe wanaielewa CDM, lakini ni kinyume chake, wakulima maskini wa vijijini bado ni ngome kubwa ya CCM.

Bashiru amefanya kazi yenu. Jinsi ambavyo wanaCCM wamekurupuka kujibu ndivyo manatakiwa kuwafanya kila siku. Wasikae wakapumua. Muache kushabikia wanaCCM wanavyotupiana madongo, hao wamejipanga vizuri sana na mambo yao. Sakata la Bashiru liwakumbushe kazi yenu.

Ugomvi wa CCM na Bashiru mnawalazimisha CHADEMA. Jiueni wenyewe.
 
Ni kawaida ya waoga kutafuta wa kulaumu ili wasishughulikiwe na mkosaji mwenye mabavu. Badala ya kusema Chadema anasemewa, unashindwa kusema Bashiru yuko sahihi na Serikali inakosolewa kwa usahihi. Unaiogopa serikali!!!

Ni aina hii ya wananchi wa hovyo ndio shida ya nchi hii. Swala la kuona ubaya au uzuri wa kitu halipaswi kuwa na mtazamo ya kisiasa. Kukosekana kwa umeme, hali mbaya ya ajira, bei juu za mahitaji muhimu ni FACTS zisizohitaji uelewa unaoongozwa na siasa, dini, jinsia au rangi!!

Ukiondoa Bashiru na Chadema, nini mtazamo wako?? Acha kuona mambo kwa mitazamo ya wengine. Anza kuona mambo kwa mtazamo wako mwenyewe!! Wewe ni kielelezo cha kwanini ni rahisi wanasiasa kuchezea akili za wapigakura!!!
 
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.

Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni kazi endelevu ya siku zote. Lakini imekuwa uchaguzi unapoisha tu, CDM wanasahau kero za wananchi. Kwa jinsi wakulima wanavyonyonywa nchi hii, tulitegemea mpaka sasa wengi wao wawe wanaielewa CDM, lakini ni kinyume chake, wakulima maskini wa vijijini bado ni ngome kubwa ya CCM.

Bashiru amefanya kazi yenu. Jinsi ambavyo wanaCCM wamekurupuka kujibu ndivyo manatakiwa kuwafanya kila siku. Wasikae wakapumua. Muache kushabikia wanaCCM wanavyotupiana madongo, hao wamejipanga vizuri sana na mambo yao. Sakata la Bashiru liwakumbushe kazi yenu.

1. Kwanza, naomba nikujibu kwamba wewe ndiye zuzu nambari moja. Katika vyama umeona uje ukitukane CHADEMA?. Chadema imepitia mangapi na kwa unafiki wako ulishangilia. Ila Leo CCM na Bashiru hawaelewani umekurupa kuishambulia CHADEMA.

2. Pili, usipelekwe na upepo wa kauli za wanasiasa ukalzimisha na CHADEMA waige. Yani CHADEMA wamuige Bashiru huyu aliyekuwa upande wa watesi wa CHADEMA. Kisa tu katoa kauli ya kuwaponda wanaomsifu Samiah?. CHADEMA is more than that. CHADEMA inajisimamia yenyewe na Ina misingi yake pekee yake. Waache CHADEMA wafanye siasa zao na Bashiru afanye siasa zake usiwapangie.

3. Tatu, CHADEMA haikuanzishwa kwaajili ya kutoa kauli pekee Bali lengo lake siku moja ni kukamata madaraka au serikali. Kitendo Cha kusema CHADEMA kazi yao ni kutoa matamko ni dharau kubwa Sana. Kama bunge lipo na halmashauri zipo, wabunge hao na madiwani wenye nguvu kisheria wapo kimya CHADEMA itasema nini kitakachobadilisha Hali ya nchi. Ndugai aliyekuwa Spika wa nchi alitoa kauli yake dhidi ya kukopa nini kiliyokea?. Kilichomtokea ni Ndugai kuondolewa uspika. Kama unataka kauli Anza na wabunge wa CCM na madiwani wa CCM waliojazana huko.

4. Nne, kauli ya Bashiru imepata nguvu na kujibiwa na Wana CCM wengine kwa sababu Bashiru amewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama na Katibu Mkuu kiongozi. Mtu mkubwa kwenye chama na mtu mkubwa kwenye serikali. Ingetolewa na Bashiru asiye na nyadhifa hizo Wala is ingekuwa na uzito.

5. Tano, lazima utambue kitendo Cha serikali ya CCM kupiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa miaka Saba kumeleta adhari za kisiasa kwa vyama vya upinzani. Kesi za kubambikizwa za ugaidi, kulimwa risasi na kupotezwa na kuuawa Kama Saanane. Huwezi kulazimisha CHADEMA wafanye siasa kwa uwanja mpana wakati umewazuia kufanya siasa kwa ukubwa wake. Itakuwa unafiki wa Hali ya juu.

All in all mtu yeyeote atakaye leta challenge kwa huyu mama , namuunga mkono. Naunga mkono kauli ya Bashiru ila simuungi mkono Bashiru as a person.
 
1. Kwanza, naomba nikujibu kwamba wewe ndiye zuzu nambari moja. Katika vyama umeona uje ukitukane CHADEMA?. Chadema imepitia mangapi na kwa unafiki wako ulishangilia. Ila Leo CCM na Bashiru hawaelewani umekurupa kuishambulia CHADEMA.

2. Pili, usipelekwe na upepo wa kauli za wanasiasa ukalzimisha na CHADEMA waige. Yani CHADEMA wamuige Bashiru huyu aliyekuwa upande wa watesi wa CHADEMA. Kisa tu katoa kauli ya kuwaponda wanaomsifu Samiah?. CHADEMA is more than that. CHADEMA inajisimamia yenyewe na Ina misingi yake pekee yake. Waache CHADEMA wafanye siasa zao na Bashiru afanye siasa zake usiwapangie.

3. Tatu, CHADEMA haikuanzishwa kwaajili ya kutoa kauli pekee Bali lengo lake siku moja ni kukamata madaraka au serikali. Kitendo Cha kusema CHADEMA kazi yao ni kutoa matamko ni dharau kubwa Sana. Kama bunge lipo na halmashauri zipo, wabunge hao na madiwani wenye nguvu kisheria wapo kimya CHADEMA itasema nini kitakachobadilisha Hali ya nchi. Ndugai aliyekuwa Spika wa nchi alitoa kauli yake dhidi ya kukopa nini kiliyokea?. Kilichomtokea ni Ndugai kuondolewa uspika. Kama unataka kauli Anza na wabunge wa CCM na madiwani wa CCM waliojazana huko.

4. Nne, kauli ya Bashiru imepata nguvu na kujibiwa na Wana CCM wengine kwa sababu Bashiru amewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama na Katibu Mkuu kiongozi. Mtu mkubwa kwenye chama na mtu mkubwa kwenye serikali. Ingetolewa na Bashiru asiye na nyadhifa hizo Wala is ingekuwa na uzito.

5. Tano, lazima utambue kitendo Cha serikali ya CCM kupiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa miaka Saba kumeleta adhari za kisiasa kwa vyama vya upinzani. Kesi za kubambikizwa za ugaidi, kulimwa risasi na kupotezwa na kuuawa Kama Saanane. Huwezi kulazimisha CHADEMA wafanye siasa kwa uwanja mpana wakati umewazuia kufanya siasa kwa ukubwa wake. Itakuwa unafiki wa Hali ya juu.

All in all mtu yeyeote atakaye leta challenge kwa huyu mama , namuunga mkono. Naunga mkono kauli ya Bashiru ila simuungi mkono Bashiru as a person.
Duh......!
 
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.

Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni kazi endelevu ya siku zote. Lakini imekuwa uchaguzi unapoisha tu, CDM wanasahau kero za wananchi. Kwa jinsi wakulima wanavyonyonywa nchi hii, tulitegemea mpaka sasa wengi wao wawe wanaielewa CDM, lakini ni kinyume chake, wakulima maskini wa vijijini bado ni ngome kubwa ya CCM.

Bashiru amefanya kazi yenu. Jinsi ambavyo wanaCCM wamekurupuka kujibu ndivyo manatakiwa kuwafanya kila siku. Wasikae wakapumua. Muache kushabikia wanaCCM wanavyotupiana madongo, hao wamejipanga vizuri sana na mambo yao. Sakata la Bashiru liwakumbushe kazi yenu.
wewe poyoyo kama kigwangalla na msukuma unaongea nini, huyo bashiru ni mpuuz na mjinga kabisa na alifaa kufa na yule dikteta wake uchwara kwa ushenzi waliowafanyia watanzania wa kupora kura baada ya kuzidiwa kwenye kampen
 
Kiukweli tusiwasingizie chadema.
Jamaa wanajitahidi sana kusema shida za wanachi kadri wanavyopata nafasi..ingawa kwa sasa Dj kapewa buyu la asali katulia.

#MaendeleoHayanaChama
wewe shoga la ccm naona unawashwawashwa sana inaonekana hakuna mtu wa kukukuna huko lumumba.
 
Ni kawaida ya waoga kutafuta wa kulaumu ili wasishughulikiwe na mkosaji mwenye mabavu. Badala ya kusema Chadema anasemewa, unashindwa kusema Bashiru yuko sahihi na Serikali inakosolewa kwa usahihi. Unaiogopa serikali!!!

Ni aina hii ya wananchi wa hovyo ndio shida ya nchi hii. Swala la kuona ubaya au uzuri wa kitu halipaswi kuwa na mtazamo ya kisiasa. Kukosekana kwa umeme, hali mbaya ya ajira, bei juu za mahitaji muhimu ni FACTS zisizohitaji uelewa unaoongozwa na siasa, dini, jinsia au rangi!!

Ukiondoa Bashiru na Chadema, nini mtazamo wako?? Acha kuona mambo kwa mitazamo ya wengine. Anza kuona mambo kwa mtazamo wako mwenyewe!! Wewe ni kielelezo cha kwanini ni rahisi wanasiasa kuchezea akili za wapigakura!!!
ukifahamu maana ya siasa utajua kuwa ipo kila sehemu. Na kama umesoma vizuri uzi wangu utafahamu mtazamo wangu ni nini. Hili ni tatizo la kusoma mada kwa ushabiki.
 
wewe poyoyo kama kigwangalla na msukuma unaongea nini, huyo bashiru ni mpuuz na mjinga kabisa na alifaa kufa na yule dikteta wake uchwara kwa ushenzi waliowafanyia watanzania wa kupora kura baada ya kuzidiwa kwenye kampen
Acha siasa za kuangalia watu, zitakuchosha kabisa.
 
1. Kwanza, naomba nikujibu kwamba wewe ndiye zuzu nambari moja. Katika vyama umeona uje ukitukane CHADEMA?. Chadema imepitia mangapi na kwa unafiki wako ulishangilia. Ila Leo CCM na Bashiru hawaelewani umekurupa kuishambulia CHADEMA.

2. Pili, usipelekwe na upepo wa kauli za wanasiasa ukalzimisha na CHADEMA waige. Yani CHADEMA wamuige Bashiru huyu aliyekuwa upande wa watesi wa CHADEMA. Kisa tu katoa kauli ya kuwaponda wanaomsifu Samiah?. CHADEMA is more than that. CHADEMA inajisimamia yenyewe na Ina misingi yake pekee yake. Waache CHADEMA wafanye siasa zao na Bashiru afanye siasa zake usiwapangie.

3. Tatu, CHADEMA haikuanzishwa kwaajili ya kutoa kauli pekee Bali lengo lake siku moja ni kukamata madaraka au serikali. Kitendo Cha kusema CHADEMA kazi yao ni kutoa matamko ni dharau kubwa Sana. Kama bunge lipo na halmashauri zipo, wabunge hao na madiwani wenye nguvu kisheria wapo kimya CHADEMA itasema nini kitakachobadilisha Hali ya nchi. Ndugai aliyekuwa Spika wa nchi alitoa kauli yake dhidi ya kukopa nini kiliyokea?. Kilichomtokea ni Ndugai kuondolewa uspika. Kama unataka kauli Anza na wabunge wa CCM na madiwani wa CCM waliojazana huko.

4. Nne, kauli ya Bashiru imepata nguvu na kujibiwa na Wana CCM wengine kwa sababu Bashiru amewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama na Katibu Mkuu kiongozi. Mtu mkubwa kwenye chama na mtu mkubwa kwenye serikali. Ingetolewa na Bashiru asiye na nyadhifa hizo Wala is ingekuwa na uzito.

5. Tano, lazima utambue kitendo Cha serikali ya CCM kupiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa miaka Saba kumeleta adhari za kisiasa kwa vyama vya upinzani. Kesi za kubambikizwa za ugaidi, kulimwa risasi na kupotezwa na kuuawa Kama Saanane. Huwezi kulazimisha CHADEMA wafanye siasa kwa uwanja mpana wakati umewazuia kufanya siasa kwa ukubwa wake. Itakuwa unafiki wa Hali ya juu.

All in all mtu yeyeote atakaye leta challenge kwa huyu mama , namuunga mkono. Naunga mkono kauli ya Bashiru ila simuungi mkono Bashiru as a person.
Hauna fikira huru, unafikiri kivyamavyama ndiyo maana unaassume nilishangilia ubaya waliotendewa CDM. Tutajadili ukiwa huru, zaidi ya hapo itakuwa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
 
Hakuna atakayefanya kazi ya wengine. Na hakuna atakayewakomboa wananchi. Wananchi watajikomboa wenyewe kwa jasho lao na kwa damu zao wakishachoka na hali duni ya maisha yao. Huo ndio ukweli ambao wengi hawataki kuusikia.
 
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.

Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni kazi endelevu ya siku zote. Lakini imekuwa uchaguzi unapoisha tu, CDM wanasahau kero za wananchi.

Kwa jinsi wakulima wanavyonyonywa nchi hii, tulitegemea mpaka sasa wengi wao wawe wanaielewa CDM, lakini ni kinyume chake, wakulima maskini wa vijijini bado ni ngome kubwa ya CCM.

Bashiru amefanya kazi yenu. Jinsi ambavyo wanaCCM wamekurupuka kujibu ndivyo manatakiwa kuwafanya kila siku. Wasikae wakapumua.

Muache kushabikia wanaCCM wanavyotupiana madongo, hao wamejipanga vizuri sana na mambo yao. Sakata la Bashiru liwakumbushe kazi yenu.

CDM hawahitaji msaada wa hilo jizi la kura, yeye Bashiru afanye siasa zake za makundi huko CCM, CDM wanajimudu bila kumuiga muhuni yoyote wa CCM.
 
Chadema wameshakuwa waimba mapambio na walamba asali siku nyingi unawategemea watusemee sisi wakulima saa ngapi? Chadema ya kusemea maslahi ya wananchi aliondoka nayo Dr Slaa, hii ya sasa hivi ni waganga njaa tu kama wengine.
 
Back
Top Bottom