econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hauna fikira huru, unafikiri kivyamavyama ndiyo maana unaassume nilishangilia ubaya waliotendewa CDM. Tutajadili ukiwa huru, zaidi ya hapo itakuwa kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Wewe ndio haupo huru acha kunisemea. Umeita CHADEMA mazuzu bila kuangalia mazingira yao ya siasa. Unataka mtu akimbue kwa spidi wakati kavunjika mguu?