CHADEMA fanyeni haya ili Kesi ya Mwenyekiti wenu Taifa, Mbowe iwe rahisi kumalizika naye pia akapumzike

CHADEMA fanyeni haya ili Kesi ya Mwenyekiti wenu Taifa, Mbowe iwe rahisi kumalizika naye pia akapumzike

Ngoja waje wafuas wa maraika, wao wanaamini hawakosei, wala hao mwaraika wao wa ubelgij na huyu wa sentrio huwa hawakosei, na hil ndyo tatizo sugu, hawa jamaa wana mapenz ya kijinga ktk siasa, siasa inakuruhusu kumkosoa kiongoz anapokosea hata kama ni yule unayemuamn na kumfuata, anapokosea lzma akosolewe na kuonywa, lkn kwa hawa jamaa wao hawamn ktk kukosea kwa chadema zaid ya kuyamulika makosa ya CCM tu, yakwao yako mengi lkn ukiyagusia wanaishia kukutukana na kukuita mataga, sukuma gang, mara msukule wa rumumba mara mfuate yule wa chato, haya yote ni kuonesha akili zao za kipumbavu, huwezi muita mtu majina haya kisa kaenda tofaut na mawazo yako, wao hawataki kuamn ktk kukosea ila kuwakosoa wengine, huu ni ushenzi usiostahimirika, watu wengine hatuamn siasa wala si wafuas wa chama chochote, hivyo tunapokosoa wao wanaishia kutuweka ktk kundi fulan bila kujitathimin kwanza wap wanakosea, hil ndyo tatzo la siasa za Tz, hovyo kabisa
Kajifunze kuandika kwa ufasaha kwanza!
 
1. Punguzeni Shutuma kwa Mahakama

2. Punguzeni Vitisho

3. Punguzeni Matusi

4. Punguzeni Mikakati ya Fujo

5. Punguzeni Kuhamasishana

6. Punguzeni Kukamia Kukomoa

7. Punguzeni Propaganda za hovyo

8. Punguzeni kujifanya Wajuaji mno

9. Punguzeni kuwa na Viherehere

10. Punguzeni kulalamika bila Hoja

11. Punguzeni kutaka kujifanya mna Haki kuliko wengine na Sheria za nchi

Msipoyafanyia Kazi haya niliyowaambia hapa Mtu wenu ataozea Segerea na Kesi yake kila Siku itakuwa inapigwa danadana tu kwani mmeshaanza Kuonekana ni Magaidi mliojificha katika Muamvuli wa Siasa na Demokrasia.

Msije kusema hamkushauriwa sawa?
Ume andika upuuzi kima
 
Umefikiri na kisha kuandika nje ya uhalisia wa mambo kisheria na kikatiba...

Anyway, hebu tu - assume unavyofikiri ndivyo hivyo....

Sasa hebu jaribu kueleza hii inaathirije mahakama na polisi kufanya kazi yao kwa mujibu wa sheria na katiba...?

Kumbuka anayeshitakiwa kwa makosa ya kubumba ni mtu binafsi aitwaye Freeman Mbowe wala siyo CHADEMA...

Na kama kuna mtu anavunja sheria in connection na kesi ya Mbowe, hatua zichukuliwe dhidi yake bila kuathiri haki za mtuhumiwa...!!
Umejibu vema sana,wachangiaji wengi wamekurupuka tu bila kuelewa kuwa mtuhumiwa ni Mbowe na haki zake lazima apate kwa mujibu wa sheria!Kusema kuwa CDM inasababisha kesi kuchelewa au mtuhumiwa kukosa haki zake ni kutojua sheria na katiba!
 
Ushauri mzuri ila mleta mada utatukanwa sana na isingekuwa ujeuri mbowe leo asingekuwa segerea, sasa hao mashabiki zake acha waendelee na mihemko bila kutumia akili
Kwani jela kuna ni nini wamejaa msmilionea na pesa zao miaka,achakutisha watu
 
Ushauri mzuri ila mleta mada utatukanwa sana na isingekuwa ujeuri mbowe leo asingekuwa segerea, sasa hao mashabiki zake acha waendelee na mihemko bila kutumia akili

Huko magerezani kumejaa mahabusu na wafungwa, je wote hao ni sababu ya ujeuri wa wanacdm, au unapost ili na wewe uonekane upo?
 
Ila noma, jamaa anaenda kukaa chumba cha giza hadi tarehe 27! Siku moja ndani ya selo ni kama mwezi mmoja, niliwahi lala siku moja, nikajisemea sitokuja rudi humu ndani kamwe!! Yaani bora mmalizane nje ila siyo kuingia mle ndani
Mtu X n gaid kasoro ndevu na kanzu tu
 
Haaa haaa haaaa Malaika. Chadema hata Mie wamenishinda. Yule Malaika wa ubelgiji ukimkosoa kukujibu anasimamia vidole gumba. Mdomo unaongeza cm 1 Kwa mwaka jinsi anavyokomaa akiongea
 
1. Punguzeni Shutuma kwa Mahakama

2. Punguzeni Vitisho

3. Punguzeni Matusi

4. Punguzeni Mikakati ya Fujo

5. Punguzeni Kuhamasishana

6. Punguzeni Kukamia Kukomoa

7. Punguzeni Propaganda za hovyo

8. Punguzeni kujifanya Wajuaji mno

9. Punguzeni kuwa na Viherehere

10. Punguzeni kulalamika bila Hoja

11. Punguzeni kutaka kujifanya mna Haki kuliko wengine na Sheria za nchi

Msipoyafanyia Kazi haya niliyowaambia hapa Mtu wenu ataozea Segerea na Kesi yake kila Siku itakuwa inapigwa danadana tu kwani mmeshaanza Kuonekana ni Magaidi mliojificha katika Muamvuli wa Siasa na Demokrasia.

Msije kusema hamkushauriwa sawa?
Hi imenirudisha shule, darasa lenye uelewa wanafunzi wanapogundua mwalimu hajui somo wanavyomsumbua, na mwalimu anavyopanic. Mwalimu badala ya kutafuta ufumbuzi anakimbilia kwa Mwl mkuu. Kumbe hajui anawapotezea wale watoto muda.

Dola na CCM jitafakarini mjibu hoja za hao wapinzani. Mtaaibika. Acheni funo na kulazimisha mambo ambayo wananchi wanaona tunapotezeana muda ili kulinda vyeo vyenu.
 
Nani kakwambia Mbowe au wapinzani wanataka kupumzika?

Labda wanaotaka kupumbuzika ni wewe na mama!

Nani aliwaambia mkishika watu ndio mtapata peace of mind?Ndio kwanza linchi linak
Nani kakwambia Mbowe au wapinzani wanataka kupumzika?

Labda wanaotaka kupumbuzika ni wewe na mama!

Nani aliwaambia mkishika watu ndio mtapata peace of mind?Ndio kwanza linchi linakua na makelele ya kutosha

Mtajijua kuchezea mzinga wa nyuki
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji


ua na makelele ya kutosha

Mtajijua kuchezea mzinga wa nyuki
 
Hi imenirudisha shule, darasa lenye uelewa wanafunzi wanapogundua mwalimu hajui somo wanavyomsumbua, na mwalimu anavyopanic. Mwalimu badala ya kutafuta ufumbuzi anakimbilia kwa Mwl mkuu. Kumbe hajui anawapotezea wale watoto muda.

Dola na CCM jitafakarini mjibu hoja za hao wapinzani. Mtaaibika. Acheni funo na kulazimisha mambo ambayo wananchi wanaona tunapotezeana muda ili kulinda vyeo vyenu.
wataaibika kivipi?
 
Umefikiri na kisha kuandika nje ya uhalisia wa mambo kisheria na kikatiba...

Anyway, hebu tu - assume unavyofikiri ndivyo hivyo....

Sasa hebu jaribu kueleza hii inaathirije mahakama na polisi kufanya kazi yao kwa mujibu wa sheria na katiba...?

Kumbuka anayeshitakiwa kwa makosa ya kubumba ni mtu binafsi aitwaye Freeman Mbowe wala siyo CHADEMA...

Na kama kuna mtu anavunja sheria in connection na kesi ya Mbowe, hatua zichukuliwe dhidi yake bila kuathiri haki za mtuhumiwa...!!
punguza ujuaji
 
Hongera leo mmekuwa washauri wa CHADEMA,,, badala ya kuishauri serikali yenu inachokifanya siyo,,
Kweli mnaona serikali iko sawa?????
Angalia kesi inavyopigwa danadana!!!
 
Huko magerezani kumejaa mahabusu na wafungwa, je wote hao ni sababu ya ujeuri wa wanacdm, au unapost ili na wewe uonekane upo?
Shida yenu ni ujeuri na kutokutumia akili Matokeo yake mnadakwa na kulala magereza huku chama kikiendelea kudumaa huwezi shindana na mwenye dola kwa kutumia strategy zilizofeli siku zote na ccm inazidi kupeta
 
Yaani nyingi ujinga wenu ni kuona dola ndio itumike kupambana na wapinzani na sio kujibu hoja kwa hoja.

Ni wajinga sana nyie.
Sawa siye ni wajinga ila kwa uhai wako hutokuja kuona au kusikia CDM, Mbowe na Lissu wakiwa viongozi wakuu wa Tanzania.

Hata CCM ikishindwa, itatawaliwa na Chama kingine tofauti na CDM
 
Shida yenu ni ujeuri na kutokutumia akili Matokeo yake mnadakwa na kulala magereza huku chama kikiendelea kudumaa huwezi shindana na mwenye dola kwa kutumia strategy zilizofeli siku zote na ccm inazidi kupeta

Acha shobo, sema hao waliojazana huko magereza nao ni sababu ya hao cdm? Au ukisikia hadithi huku mitandaoni unaanza kutambaa nazo na kugeuza ndio hoja zako? Cdm inafubaa, kisha ccm inaendelea kupeta, lakini ili iendelee kupeta inabidi itegemee kura za kwenye mabeg. Uza ubongo huo sister maana unakaa nao kwa hasara.
 
Sawa siye ni wajinga ila kwa uhai wako hutokuja kuona au kusikia CDM, Mbowe na Lissu wakiwa viongozi wakuu wa Tanzania.

Hata CCM ikishindwa, itatawaliwa na Chama kingine tofauti na CDM
Mkuu ndio itakuwa hivyo kweli, au haya ndio matamanio yako?
 
Back
Top Bottom