CHADEMA flip flopping at its best! Jisomee mwenyewe uone


Muoneni sasa kada alipo, yaani waaaay back before the firm, nilikuwa nao hawa jamaa, i was among the first online kada's uniting with the so called wapinzani, we used to get together discuss issues na wazee yaani way back, NIKAONA KUNA KILA HAJA YA KUWA MPINZANI, kama unabisha you do the history*reference jina:KadaMpinzani, baada ya kukosa utendaji wa haki, kuzidisha siasa kupita kiasi angalau nilijua ni POLITICAL LUGGAGE, now am watching wapinzani kuongea vyovyote wanavyoweza to get their day by,thats the reason why i like to celebrate being a CCM Kada so i can visualize the collages and images of my life nilipokuwa na wapinzani JF with no regrets of hate, NOW ITS HARD FOR THEM TO BREATHE kama wapo kwenye high altitude, no wonder everything i touch turns into CCM haooo yaani hate kupita kiasi wakati nilishasema sana tuweni pamoja, tuwafichue jamaa bila ya kujali vyama,WAKAKATAA NA KUSEMA SI UENDE MWENYEWE* now i rather walk on the sideways talking than kuwa na hawa jamaa.

Anyway weekend njema !
 
Kada: nakuhurumia sana. Kazi unayoifanya ni ngumu mno japokuwa unajitahidi. Wapo wengi walipita hapa kwa nia ya kuitetea CCM walikimbia wenyewe. Hamna kitu kigumu kama kutete uovu au chochote kisichoteteeka. Haya endelea bwana, yetu macho. Lakini CHADEMA itakutoa kamasi, unajaribu kupanda mlima kilimanjaro wakati una asthma, utafia katikati!
 
sawa si tupo hapa ! mie sisemi sana ! hayo ya kutetea ccm umesema wewe mwenyewe !
 
 
 

Huyu mbona wanampa kazi ambayo haiwezi? Wakuu wake wakijua kazi waliyomtuma haifanyi ipasavyo ila anaishia kupiga ukasuku hapa sijui mlo wa wiki ijayo utakwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…