johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio kaunga na paso yake kwenye msafara, katoboaRaila Odinga ni msaliti, maandamano ya Gen Z hayakulenga katika suala la kugawana nusu mkate kwa Wanasiasa bali ni maandamano ya Vijana ili kuwasilisha kero zao za ukosefu wa ajira na maisha magumu wanayokumbana nayo kila siku.
mkiwa mnapost picha muwe mnaweka fullMbona Odm wamegomaa..?
Sawa sawa mkuu...mkiwa mnapost picha muwe mnaweka full
Font Mbaya, huwa mna somaje Font kama hizi tMbona Odm wamegomaa..?
Mara nyingi wenye font izi ni wadada me nashindwa kuwaelewa kwa kweliFont Mbaya, huwa mna somaje Font kama hizi t
Ujana tu mkuu... Zinasomeka lakiniFont Mbaya, huwa mna somaje Font kama hizi t
Watapata wapi nusu mkate kwa kutegemea wabunge toka tu Moshi?Arusha na Manyara wameshagoma kutumika bado wachagga tu wamebaki na si wa maeneo yote .Mfano Vunjo kwetu mdudu Chadema hatufai.Kibaya zaidi walitaka kuteletea mkumbizi to oldmoshi aliachika kwenye ndoa eti awe mgombe wa Vunjo.CHADEMA siyo omba omba wapo vizuri hawahitaji hisani ya maza
Mkuu Mungu akutunze, pesa ya ada haikwenda bureCHADEMA siyo omba omba wapo vizuri hawahitaji hisani ya maza
Wewe siyo mchaga ni shetani fulani usiye na akili, hakuna mchaga mjinga kama weweWatapata wapi nusu mkate kwa kutegemea wabunge toka tu Moshi?Arusha na Manyara wameshagoma kutumika bado wachagga tu wamebaki na si wa maeneo yote .Mfano Vunjo kwetu mdudu Chadema hatufai.Kibaya zaidi walitaka kuteletea mkumbizi to oldmoshi aliachika kwenye ndoa eti awe mgombe wa Vunjo.
LemaWewe siyo mchaga ni shetani fulani usiye na akili, hakuna mchaga mjinga kama wewe
Mkuu nadaiwa parefu na HESLB ndiyo maana sitaki ajira rasmi acha nifanye umachingaMkuu Mungu akutunze, pesa ya ada haikwenda bure
Lema amekaa Cananda ambapo wakinga wengi hawajahi kufikaLema
Wewe unawapa ushauri chadema kama nani?Kuna Mjadala mkubwa unaendelea kwenye Chama kikuu Cha Upinzani nchini Kenya ODM
Nusu Mkate ya Baraza la Mawaziri imeigawa ODM kiasi Cha kutishia Usalama wake
Chadema wameomba Nusu Mkate 2025 Ndio sababu nawashauri wajifunze faida na hasara zake sasa kupitia ODM
Nafuatilia Mjadala Citizen TV hali ni tete Sana
Mungu ni Mwema wakati Wote 😄