johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna Mjadala mkubwa unaendelea kwenye Chama kikuu Cha Upinzani nchini Kenya ODM
Nusu Mkate ya Baraza la Mawaziri imeigawa ODM kiasi Cha kutishia Usalama wake
Chadema wameomba Nusu Mkate 2025 Ndio sababu nawashauri wajifunze faida na hasara zake sasa kupitia ODM
Nafuatilia Mjadala Citizen TV hali ni tete Sana
Mungu ni Mwema wakati Wote 😄
Nusu Mkate ya Baraza la Mawaziri imeigawa ODM kiasi Cha kutishia Usalama wake
Chadema wameomba Nusu Mkate 2025 Ndio sababu nawashauri wajifunze faida na hasara zake sasa kupitia ODM
Nafuatilia Mjadala Citizen TV hali ni tete Sana
Mungu ni Mwema wakati Wote 😄