Chadema haijawahi kuwa na M.kiti, nje ya Familia ya Mbowe, Hawezi kuvunja mwiko

Chadema haijawahi kuwa na M.kiti, nje ya Familia ya Mbowe, Hawezi kuvunja mwiko

Ni mchaga!!

..Mzee Makani alisingiziwa kuwa ni Mkristo na ameoa Mchaga.

..Ukweli ni kwamba alikuwa Muislamu, na jina lake ni Mohammed Bob Nyanga Makani.

..Ukweli mwingine ni kwamba mke wa Mzee Makani ni mwenyeji wa Mbeya, Mnyakyusa.
 
Nataka watu watambue kuwa , Toka kuanzishwa Kwa Chadema ambacho ndio chama Cha ukombozi, haijawahi kutokea chama hili kikawa na Kiongozi Mkuu ambaye c mwana familia wa Chadema.

Hivyo Mimi naona kwangu itakuwa mtihani mkubwa Kwa Mbowe kuvunja mwiko uliowekwa na waasisi wa Chama hicho, Moja ya Waanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei na Bob Makani,.

Mtei ndio alikuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema, ambaye alihudumu Kwa Miaka 5, akaja Shemeji yake ambaye ni Bob Makani, ambao hao kina Makani wameoa Kwenye Familia ya Mtei. Baada ya Bob Makani Kuachia Ngazi, chama kilikabidhiwa Kwa Mbowe ambaye ni Mkwe wa Mtei, yaani ameoa mtoto wa Mtei.

Lissu hakuwa na mpango wa kugombea Uenyekiti kwani aliheshimu miiko iliyowekwa na Familia yenye chama (Familia ya Mbowe), na alikuwa aendelee kugombea umakamu mwenyekiti, Sasa baada ya kupata habari za Ndani kuwa wanataka kumtoa kabisa katika uongozi na nafasi Ile ya makamo mwenyekiti Lissu aliamua liwalo na liwe , Sasa nagombea Uenyekiti, kitu kilichompa msongo wa mawazo Mzee mbowe aliekabidhiwa chama na familia.

Mbowe alikuwa bado hajaandaa mtu wa familia wa kurithi nafasi yake , kwakuwa alijua bado anaweza kuhudumu nafasi hiyo, hivyo Sasa ameomba miaka mitano ambayo itamtosha kumuandaa mtu wa Familia Kwa ajili ya kurithi nafasi hiyo muhimu Kwa chama Chao.

Hivyo tunajua, Mbowe ni mara mia chama kifie mikononi mwa mtu wa familia kuliko kukikabidhi chama Kwa mtu Baki. Sasa kelele za katiba mpya nadhani zitaisha baada ya uchaguzi huu wa Chadema, kama Hawa hawataki kuondoka kwenye chama , wakipewa nchi sijui itakuaje itakuwa Baraza la mawaziri wote lazima wawe mbowe family
Acha uwongo ni mtoto Gani wa Makani kaoa kwa kina Mbowe?
Watoto wa Makani ni hawa:-
Nataka watu watambue kuwa , Toka kuanzishwa Kwa Chadema ambacho ndio chama Cha ukombozi, haijawahi kutokea chama hili kikawa na Kiongozi Mkuu ambaye c mwana familia wa Chadema.

Hivyo Mimi naona kwangu itakuwa mtihani mkubwa Kwa Mbowe kuvunja mwiko uliowekwa na waasisi wa Chama hicho, Moja ya Waanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei na Bob Makani,.

Mtei ndio alikuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema, ambaye alihudumu Kwa Miaka 5, akaja Shemeji yake ambaye ni Bob Makani, ambao hao kina Makani wameoa Kwenye Familia ya Mtei. Baada ya Bob Makani Kuachia Ngazi, chama kilikabidhiwa Kwa Mbowe ambaye ni Mkwe wa Mtei, yaani ameoa mtoto wa Mtei.

Lissu hakuwa na mpango wa kugombea Uenyekiti kwani aliheshimu miiko iliyowekwa na Familia yenye chama (Familia ya Mbowe), na alikuwa aendelee kugombea umakamu mwenyekiti, Sasa baada ya kupata habari za Ndani kuwa wanataka kumtoa kabisa katika uongozi na nafasi Ile ya makamo mwenyekiti Lissu aliamua liwalo na liwe , Sasa nagombea Uenyekiti, kitu kilichompa msongo wa mawazo Mzee mbowe aliekabidhiwa chama na familia.

Mbowe alikuwa bado hajaandaa mtu wa familia wa kurithi nafasi yake , kwakuwa alijua bado anaweza kuhudumu nafasi hiyo, hivyo Sasa ameomba miaka mitano ambayo itamtosha kumuandaa mtu wa Familia Kwa ajili ya kurithi nafasi hiyo muhimu Kwa chama Chao.

Hivyo tunajua, Mbowe ni mara mia chama kifie mikononi mwa mtu wa familia kuliko kukikabidhi chama Kwa mtu Baki. Sasa kelele za katiba mpya nadhani zitaisha baada ya uchaguzi huu wa Chadema, kama Hawa hawataki kuondoka kwenye chama , wakipewa nchi sijui itakuaje itakuwa Baraza la mawaziri wote lazima wawe mbowe family
Umedanganya. Hamna mtoto wa Makani aliyeoa mtoto wa ukoo wa Mbowe. Kama yupo mtaje.

Grace Makani kaolewa na David Tarimo mchagga wa Marangu, kina Mbowe kwao ni Machame, directions mbili tofauti.

Anthony Tume Makani kamuoa Luty, Ambaye ni Mnyamwezi na Mngoni.

Julie Makani ameolewa na Abdul Idd Simba ambaye ni Mrundi.

Richard Kakuyu Makani kaoa Mhaya sasa nitajie mtoto wa Makani mwenye kuoa kwa kina Mbowe
 
..Mzee Makani alisingiziwa kuwa ni Mkristo na ameoa Mchaga.

..Ukweli ni kwamba alikuwa Muislamu, na jina lake ni Mohammed Bob Nyanga Makani.

..Ukweli mwingine ni kwamba mke wa Mzee Makani ni mwenyeji wa Mbeya, Mnyakyusa.
Mke wa Makani anaitwa Vickie Kakuyu kwao Soko Matola Mbeya. Makani kwao ni Ibadakuli Shinyanga
 
Nataka watu watambue kuwa , Toka kuanzishwa Kwa Chadema ambacho ndio chama Cha ukombozi, haijawahi kutokea chama hili kikawa na Kiongozi Mkuu ambaye c mwana familia wa Chadema.

Hivyo Mimi naona kwangu itakuwa mtihani mkubwa Kwa Mbowe kuvunja mwiko uliowekwa na waasisi wa Chama hicho, Moja ya Waanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei na Bob Makani,.

Mtei ndio alikuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema, ambaye alihudumu Kwa Miaka 5, akaja Shemeji yake ambaye ni Bob Makani, ambao hao kina Makani wameoa Kwenye Familia ya Mtei. Baada ya Bob Makani Kuachia Ngazi, chama kilikabidhiwa Kwa Mbowe ambaye ni Mkwe wa Mtei, yaani ameoa mtoto wa Mtei.

Lissu hakuwa na mpango wa kugombea Uenyekiti kwani aliheshimu miiko iliyowekwa na Familia yenye chama (Familia ya Mbowe), na alikuwa aendelee kugombea umakamu mwenyekiti, Sasa baada ya kupata habari za Ndani kuwa wanataka kumtoa kabisa katika uongozi na nafasi Ile ya makamo mwenyekiti Lissu aliamua liwalo na liwe , Sasa nagombea Uenyekiti, kitu kilichompa msongo wa mawazo Mzee mbowe aliekabidhiwa chama na familia.

Mbowe alikuwa bado hajaandaa mtu wa familia wa kurithi nafasi yake , kwakuwa alijua bado anaweza kuhudumu nafasi hiyo, hivyo Sasa ameomba miaka mitano ambayo itamtosha kumuandaa mtu wa Familia Kwa ajili ya kurithi nafasi hiyo muhimu Kwa chama Chao.

Hivyo tunajua, Mbowe ni mara mia chama kifie mikononi mwa mtu wa familia kuliko kukikabidhi chama Kwa mtu Baki. Sasa kelele za katiba mpya nadhani zitaisha baada ya uchaguzi huu wa Chadema, kama Hawa hawataki kuondoka kwenye chama , wakipewa nchi sijui itakuaje itakuwa Baraza la mawaziri wote lazima wawe mbowe family
Case closed.
 
Basi mwambie Mbowe Aachie madaraka, Kuna watu walipotosha. Umeeleweka kabisa

..binafsi nampinga Freeman Mbowe ktk kugombea tena Uenyekiti, lakini sifanyi hivyo huku nikiwazushia wazee waadilifu kama Edwin Mtei, na marehemu Mohamed Bob Makani.

..mtoa mada umekosea sana kwa uliyoandika katika mada yako. kuna hoja nyingi za kumpinga Mbowe, na kuipinga Chadema. Sielewi nini kimekulazimisha kuandika uongo.
 
Basi mwambie Mbowe Aachie madaraka, Kuna watu walipotosha. Umeeleweka kabisa
Wacha ujinga Mwenyekiti Mbowe ana haki kama mwanachadema yeyote kugombea Uenyekiti. Katiba inamruhusu. Hakuna kuachiwa Uenyekiti wa dezo. Leteni pua kwenye Uchaguzi wajumbe waamue.Wewe ndio umeleta hii mada na kwa sababu umekiri ni upotoshaji iondoe.Muungwana akifumwa uchi huchutama.Do the needful.
 
Nataka watu watambue kuwa , Toka kuanzishwa Kwa Chadema ambacho ndio chama Cha ukombozi, haijawahi kutokea chama hili kikawa na Kiongozi Mkuu ambaye c mwana familia wa Chadema.

Hivyo Mimi naona kwangu itakuwa mtihani mkubwa Kwa Mbowe kuvunja mwiko uliowekwa na waasisi wa Chama hicho, Moja ya Waanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei na Bob Makani,.

Mtei ndio alikuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema, ambaye alihudumu Kwa Miaka 5, akaja Shemeji yake ambaye ni Bob Makani, ambao hao kina Makani wameoa Kwenye Familia ya Mtei. Baada ya Bob Makani Kuachia Ngazi, chama kilikabidhiwa Kwa Mbowe ambaye ni Mkwe wa Mtei, yaani ameoa mtoto wa Mtei.

Lissu hakuwa na mpango wa kugombea Uenyekiti kwani aliheshimu miiko iliyowekwa na Familia yenye chama (Familia ya Mbowe), na alikuwa aendelee kugombea umakamu mwenyekiti, Sasa baada ya kupata habari za Ndani kuwa wanataka kumtoa kabisa katika uongozi na nafasi Ile ya makamo mwenyekiti Lissu aliamua liwalo na liwe , Sasa nagombea Uenyekiti, kitu kilichompa msongo wa mawazo Mzee mbowe aliekabidhiwa chama na familia.

Mbowe alikuwa bado hajaandaa mtu wa familia wa kurithi nafasi yake , kwakuwa alijua bado anaweza kuhudumu nafasi hiyo, hivyo Sasa ameomba miaka mitano ambayo itamtosha kumuandaa mtu wa Familia Kwa ajili ya kurithi nafasi hiyo muhimu Kwa chama Chao.

Hivyo tunajua, Mbowe ni mara mia chama kifie mikononi mwa mtu wa familia kuliko kukikabidhi chama Kwa mtu Baki. Sasa kelele za katiba mpya nadhani zitaisha baada ya uchaguzi huu wa Chadema, kama Hawa hawataki kuondoka kwenye chama , wakipewa nchi sijui itakuaje itakuwa Baraza la mawaziri wote lazima wawe mbowe family
Sasa huwezi kukiita chama cha ukombozi alafu kiongozi au viongozi wakuu watokee ukoo mmoja tuu.. hiko ni kikundi tu km kikundi vingine.
 
Sasa huwezi kukiita chama cha ukombozi alafu kiongozi au viongozi wakuu watokee ukoo mmoja tuu.. hiko ni kikundi tu km kikundi vingine.
Imeshajibiwa na imedhihirika ni uzushi.Wacha kuwa mvivu kusoma.
 
Back
Top Bottom