CHADEMA haikupaswa kulegezewa hata kidogo, ni watu wasiojitambua watasahau sasa hivi na kurudia waliyozoea

CHADEMA haikupaswa kulegezewa hata kidogo, ni watu wasiojitambua watasahau sasa hivi na kurudia waliyozoea

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.
 
1646852650896.png
 
Kufanya siasa ni haki kikatiba, ni chama cha siasa. Hawapo hapa kuuza sura, nao wanategemea siku kushika dola. Sijui kwa nini wanaccm hawataki kuona hilo. Wanaohatarisha usalama wa nchi ni Wanaccm wenyewe na polisi + wasiojulikana. Ni wajinga tu kama mleta mada wanaoamini kuwa CCM ina hati miliki ya nchi hii.
 
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.
Katika kundi hili la watu 100 walioshambulia mwanachadema, wamebaki watatu tu, sasa wewe endelea

2183704_IMG_1183.jpg
 
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.

Mmeanza kutoka toka mashimoni.

IMG_20220304_154503_924.jpg


Kama na siku hujajua bado kuwa ni siku gani, Leo Jumatano.
 
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.
CHADEMA haiuwi watu, ila CCM kupitia police huua Sana.
Walimuua

Akwiliina na wengine wengi
 
Kufanya siasa ni haki kikatiba, ni chama cha siasa. Hawapo hapa kuuza sura, nao wanategemea siku kushika dola. Sijui kwa nini wanaccm hawataki kuona hilo. Wanaohatarisha usalama wa nchi ni Wanaccm wenyewe na polisi + wasiojulikana. Ni wajinga tu kama mleta mada wanaoamini kuwa CCM ina hati miliki ya nchi hii.
Tofautisha kufanya siasa na kufanya harakati za kisiasa zisizo na mashiko.
 
Amani inavunjwa na kundi la wezi kushika Dola na kutamani kula mpaka kamba ili ikatike wakwapue kila wanachokiona mbele yao.

Hivi Kwa mfano Kwenye siku ya Wanawake kule Iringa akina mama wa Chadema walifanya vurugu Gani?
Huoni kuwa palikua na upumbavu uliokuwa unafanywa na mavampire au mazimwi ndani ya CCM mkoa wa Iringa yaliyowapigia simu Polisi na kujaribu kuwatumia Polisi kuvuruga Sherehe za akina mama wa Chadema Kwa kutaka bendera zishushwe . Hapo nani mpumbavu na mvunja amani? Bila shaka mpumbavu na Lofa ni yule anayeona kuwa Bendera au kitambaa kupepea kwenye miti ni kuvunja amani na kuchukua Bunduki na kuua watu Kwa Sababu ya kupandisha vitambaa vyenye rangi nyeupe na nyekundu kwenye miti. Ujinga kabisa.
Tunataka katiba ambayo OCD akijiunga na Chama Cha siasa akiwa kwenye madaraka na kutumia Bunduki za serikali kuua wapinzani wake kisiasa atashitakiwa na kuwajibishwa kabla ya kuvuruga amani ya nchi.
Tunataka katiba mpya itakayomdhibiti Msinamizi wa uchaguzi anayevuruga uchaguzi jambo linaloweza kupoteza amani ya nchi Kwa sekunde Moja . Tuwadhibiti wanaofanya uhalifu wa kibinafamu Kwa sababu ya kutaka uteuzi. Wawe ndani ya vyombo vya Dola au nje ya vyombo vya Dola.

Lakini pia tunataka katiba Mpya inayoweka usawa wa kisiasa lakini unaoondoa maandamano ya kisiasa na kijinga baada ya uchaguzi. Hatutaki maandamano ya kupinga nje ya mahakama. Tuwe na katiba mpya inayotoa uhuru wa kugombea ,kumchagua mtu Kwa haki na kufungua kesi Kwa mgombea yeyote hata Kwa matokeo ya urais lakini masuala ya maandamani yasiyo na ukomo ni upumbavu.
Hayo yaondolewe kwenye Katiba kabisa na itamke wazi kuwa maandamano yatakua ni Kwa ajili ya mambo ya kitaifa TU kama vile mwenge na maandamano ya kuchangisha jambo Fulani bila kuhusisha vyama vya siasa.
Maandamano ya kisiasa iwe ni marufuku kabisa.

Yanayotokea kule Afrika ya kusini na Marekani hatutaki kuyaona kwenye nchi yetu ni uharibifu.

Tushindane Kwa haki ila uchaguzi ukipita na kama mahakama imetoa hukumu juu ya kesi zinazofunguliwa za uchaguzi iwe ndio basi hakuna Tena kuitisha maandamano.

Taifa letu ni muhimu kuliko haya mavyama yaliyoundwa na watu Wawili au watatu au hata mtu mmoja kama ilivyo ACT Wazalendo. Ni Chama kilichoundwa na mtu mmoja. Sasa mtu mmoja aunde chama chake Kwa malengo yake halafu na akili zako uone kuwa hicho Chama ni Cha muhimu kuliko Taifa. Mwisho wa huu ujinga wa kuthamini Chama kuliko Taifa uishie 2022 . Tubadilike na kuweka utaifa mbele.
CCM itakufa kifo Cha Mende siku sio nyingi.
Tuataanza kuweka Dua na albadiri Kwa kila uonevu ndani ya nchi hii.
Hatutaki kabisa kuona watu wachache wanawatumia watoto wa maskini ndani ya vyombo vya Dola kuumiza maskini wenzao Kwa kutumia Bunduki Kwa manufaa ya watawala manilonea na familia zao zinazosoma Huko Ukrein na Canada ili waje watawale na kula Bata na marafiki zao wa kizungu na Kiarabu.
 
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.
Wewe siyo mzima. Katafute matibabu ya kukufaa.
 
Wakati wa Jakaya walilegezewa na walijisahau kiasi cha kuhatarisha amani ya taifa letu.

Wakati wa maandamano yao na operation Sangara zao watu wasio na hatia waliuwawa.

Sasa naona Mama Samia kwa huruma ameamua kuwalegezea lakini hawa sio watu maana ni wasahaulifu na huwa wanafanya mambo kwa mkumbo kama nyumbu. Soon watasahau.

Kama taifa tutakuja kukumbuka hawakupaswa kulegezewa.
Wewe huna nia nzuri
Hupendi amani
Mnafiki
Mchochezi
Mzandiki
 
CCM haina hati miliki ya uongozi Tanzania. Ikitolewa madarakani je?
 
Back
Top Bottom