CHADEMA haina heshima kwa viongozi wake, inataka kumwondoa Mbowe kihuni bila kujali mchango wake, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

CHADEMA haina heshima kwa viongozi wake, inataka kumwondoa Mbowe kihuni bila kujali mchango wake, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Chama cha Chadema hakina heshima kwa viongozi wake, kinataka kumwondoa Mh Mbowe kihuni bila kujali mchango wake mkubwa ndani ya Chama hiki, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

Mh Mbowe amejenga Chama kwa gharama kubwa ya fedha na Wanachama kwa zaidi ya miaka 30 historia hii ni kubwa sana
Mbowe wakati akianza uenyekiti Chama kilikua na hali mbaya sana hasa idadi ndogo ya wanachama pamoja na fedha za kujikimu

Hivyo basi Mh Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa sana katika mchango wake huu mkubwa na sio kihuni kama vile kinavyofanya kwa sasa

Tatizo hili limeanzishwa na Tundu Lissu mwanasiasa mwenye mdomo mrefu sana kuliko wanasiasa wengine ndiyo maana akaingizwa kwenye jaribio la risasi miaka iliyopita, hii redio yenye sauti kubwa sana inashutumu uongozi wa Mh Mbowe mara kadhaa hii inaleta picha kuwa Lissu ni mtu asiye na heshima wala adabu kwa Mwenyekiti wa Chama

Angekuwa na heshima angemshauri Mh Mbowe katika vikao vyao vya Chama ili wakija hadharani watuoneshe matukio mawili tu ya Mbowe kustaafu na Lissu kupewa Uenyekiti badala yake hili jambo linafanyika kihuni mwisho Mh Mbowe aonekane hana mchango wowote na kuvunjiwa heshima yake moja kwa moja

Mh Mbowe atambue kuwa kitendo hiki kwake ni cha kumshushia heshima na kuharibu mchango wake wote ndani ya Chadema hivyo basi maumivu yake yatalaani Chama hiki na hakitafanikiwa tena huu ndio utakuwa mwanzo wa Chadema kufa
 
Basi wenyeviti wa ccm wangeachwa kwa mchango wao, waendelee kubaki madarakani ?

yes amefanya kazi kubwa but muda hautambui hilo, muda unataka mabadiliko. Vizazi vinabadilika, watu wanabadilika, mahitaji yanabadilika.

Kiongozi yoyote ana option mbili, aendane na changes or aachwe nyuma
 
Chama cha Chadema hakina heshima kwa viongozi wake, kinataka kumwondoa Mh Mbowe kihuni bila kujali mchango wake mkubwa ndani ya Chama hiki, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

Mh Mbowe amejenga Chama kwa gharama kubwa ya fedha na Wanachama kwa zaidi ya miaka 30 historia hii ni kubwa sana
Mbowe wakati akianza uenyekiti Chama kilikua na hali mbaya sana hasa idadi ndogo ya wanachama pamoja na fedha za kujikimu

Hivyo basi Mh Mbowe analitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa sana katika mchango wake huu mkubwa na sio kihuni kama vile kinavyofanya kwa sasa

Tatizo hili limeanzishwa na Tundu Lissu mwanasiasa mwenye mdomo mrefu sana kuliko wanasiasa wengine ndiyo maana akaingizwa kwenye jaribio la risasi miaka iliyopita, hii redio yenye sauti kubwa sana inashutumu uongozi wa Mh Mbowe mara kadhaa hii inaleta picha kuwa Lissu ni mtu asiye na heshima wala adabu kwa Mwenyekiti wa Chama

Angekuwa na heshima angemshauri Mh Mbowe katika vikao vyao vya Chama ili wakija hadharani watuoneshe matukio mawili tu ya Mbowe kustaafu na Lissu kupewa Uenyekiti badala yake hili jambo linafanyika kihuni mwisho Mh Mbowe aonekane hana mchango wowote na kuvunjiwa heshima yake moja kwa moja

Mh Mbowe atambue kuwa kitendo hiki kwake ni cha kumshushia heshima na kuharibu mchango wake wote ndani ya Chadema hivyo basi maumivu yake yatalaani Chama hiki na hakitafanikiwa tena huu ndio utakuwa mwanzo wa Chadema kufa
Kama ni Mbowe kuambiwa kistaarabu kashaambiwa sana lakini anakaza shingo. Acha atolewe kwa kelele sasa. Kama ni cdm kufa hilo sahau, sana sana ccm mtaishia kupora chaguzi za nchi.
 
Chama cha Chadema hakina heshima kwa viongozi wake, kinataka kumwondoa Mh Mbowe kihuni bila kujali mchango wake mkubwa ndani ya Chama hiki, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

Mh Mbowe amejenga Chama kwa gharama kubwa ya fedha na Wanachama kwa zaidi ya miaka 30 historia hii ni kubwa sana
Mbowe wakati akianza uenyekiti Chama kilikua na hali mbaya sana hasa idadi ndogo ya wanachama pamoja na fedha za kujikimu

Hivyo basi Mh Mbowe analitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa sana katika mchango wake huu mkubwa na sio kihuni kama vile kinavyofanya kwa sasa

Tatizo hili limeanzishwa na Tundu Lissu mwanasiasa mwenye mdomo mrefu sana kuliko wanasiasa wengine ndiyo maana akaingizwa kwenye jaribio la risasi miaka iliyopita, hii redio yenye sauti kubwa sana inashutumu uongozi wa Mh Mbowe mara kadhaa hii inaleta picha kuwa Lissu ni mtu asiye na heshima wala adabu kwa Mwenyekiti wa Chama

Angekuwa na heshima angemshauri Mh Mbowe katika vikao vyao vya Chama ili wakija hadharani watuoneshe matukio mawili tu ya Mbowe kustaafu na Lissu kupewa Uenyekiti badala yake hili jambo linafanyika kihuni mwisho Mh Mbowe aonekane hana mchango wowote na kuvunjiwa heshima yake moja kwa moja

Mh Mbowe atambue kuwa kitendo hiki kwake ni cha kumshushia heshima na kuharibu mchango wake wote ndani ya Chadema hivyo basi maumivu yake yatalaani Chama hiki na hakitafanikiwa tena huu ndio utakuwa mwanzo wa Chadema kufa
Km hataki na anaitumikia ccm?
 
Chama cha Chadema hakina heshima kwa viongozi wake, kinataka kumwondoa Mh Mbowe kihuni bila kujali mchango wake mkubwa ndani ya Chama hiki, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

Mh Mbowe amejenga Chama kwa gharama kubwa ya fedha na Wanachama kwa zaidi ya miaka 30 historia hii ni kubwa sana
Mbowe wakati akianza uenyekiti Chama kilikua na hali mbaya sana hasa idadi ndogo ya wanachama pamoja na fedha za kujikimu

Hivyo basi Mh Mbowe analitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa sana katika mchango wake huu mkubwa na sio kihuni kama vile kinavyofanya kwa sasa

Tatizo hili limeanzishwa na Tundu Lissu mwanasiasa mwenye mdomo mrefu sana kuliko wanasiasa wengine ndiyo maana akaingizwa kwenye jaribio la risasi miaka iliyopita, hii redio yenye sauti kubwa sana inashutumu uongozi wa Mh Mbowe mara kadhaa hii inaleta picha kuwa Lissu ni mtu asiye na heshima wala adabu kwa Mwenyekiti wa Chama

Angekuwa na heshima angemshauri Mh Mbowe katika vikao vyao vya Chama ili wakija hadharani watuoneshe matukio mawili tu ya Mbowe kustaafu na Lissu kupewa Uenyekiti badala yake hili jambo linafanyika kihuni mwisho Mh Mbowe aonekane hana mchango wowote na kuvunjiwa heshima yake moja kwa moja

Mh Mbowe atambue kuwa kitendo hiki kwake ni cha kumshushia heshima na kuharibu mchango wake wote ndani ya Chadema hivyo basi maumivu yake yatalaani Chama hiki na hakitafanikiwa tena huu ndio utakuwa mwanzo wa Chadema kufa
mdomo unamstaafisha siasa Lisu kwa Lazima 🐒
 
Back
Top Bottom